Yes bro lakini tofautisha kampuni inayomiliki dhahabu na mtu anayemiliki dhahabu mfano tu what if barrick went bank rupt na umenunua share zake??? na wew unaangalia upande mmoja tu wa bei ya dhahabu???
Nakampuni nyngne zinazotoa huduma za gold online zinazokubali hapa tz wanakuwa waklnalist gold kama stock so unakuta hyo kampun ikipata hasara pia na wew unapata japo huwa wanafichaga..na huwa hizo kampun sio asilimia mia moja huwa zinakuwa backed na gold
Yan bro kuna njia mbili za kuhold gold online kama sikosei kuna etf au etfn hyo ya etf huwez loose money ni unakuwa kama ukaondoka nayo nyumban na pia ukiutaka mzigo wako wanaukuletea sema gharama za usafiri ni juu yako hii kitu nmeona uko south africa ndo inafanyika na pia makampun mengi...
CRDB nliongea na watoa huduma zao wakasema hawatoi hizo huduma pia na absa wao wamezilist kwa mfumo wa etf kwenye stock so sijapenda hyo style ya absa isingekuwa kwenye stock ingefaa kununua.sasa unaweza nisaidia channel nyngne wanaotoa hizo huduma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.