Recent content by jescalio

  1. J

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa tatizo la mtoto kuvimba uume anapokojoa

    Nina mtoto wa kiume wa miaka 2 sasa kuanzia asubuhi nimeshangaa kumuona akiwa anakojoa uume kule mbele kunavimba kama puto na mkojo unaenda pembeni hauendi mbele, nimempeleka hospital wanasema ni kwasababu ya infection (ana U.T.I) wakanishuri nimfanyie circumcision haraka. Sasa naomba kujua...
  2. J

    JamiiForums Tanzania Picha ya Dkt. Mauki na binti yake imekuwa na mjadala mkubwa FB

    Kwani ina tatizo gani na ukizangatia hawakuwa wawili tu yeue na binti yake walikuwa na mtu wa tatu aliyepiga hiyo picha,tusipende kukuza mambo
  3. J

    JamiiForums Tanzania Ushauri tafadhari

    Asante dada Apologize lady,nitamshauri afanye hivo
  4. J

    JamiiForums Tanzania Ushauri tafadhari

    Tulishamtoa nyumbani tukampeleka kwa bibi kijijin kimyakimya pasipo huyo nsyuka kujua sijui ni nani aliyemwambia alipo na katoa wapi namba za simu hatujui ana msumbua mbaya tena kwa vitisho kuwa mwanae atampata tu akiwa mzima au amekufa sasa hatuelew tufanyeje
  5. J

    JamiiForums Tanzania Ushauri tafadhari

    Nina mdogo wangu alizaa na kaka mmoja na kukataa ujauzito na hata alipojifungua kupelekewa mtoto akawa anajibu mtoto sio wangu,kamtafute baba yake,hana cha huduma walanini, mtoto akiumwa akipigiwa simu anajibu mwache afe, mkimkalisha vikao anahaidi kumhudumia mtoto lakini,akitoka hana...
  6. J

    JamiiForums Tanzania Kawagombanisha ili aolewe yeye na ameolewa

    Mmmhhh,chezea kuolewa,ee
Back
Top Bottom