mi nilikuwa napokea hyo laki mbili kwenye english medium moja hapa mjini ila mkuu wangu kanifanyia hujuma na nimetimuliwa,yote tisa nashukuru kwa ushauri wako.
Mtalaamu anaefahamu ugonjwa huu anisaidie kabla sijaharibikiwa,kuna vinyama vimeota kwenye unyeo wangu *puru*kama ilivyo kwenye picha hapo naomba mnijuze japo dawa yake.
===============================================================================================================
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.