Recent content by Jerryaru kagose

  1. J

    Ajira mpya za Walimu 2014/2015

    umepataje netwk huko kijijini
  2. J

    Kabla hujaanza kuzunguka na bahasha soma hapa

    mi nilikuwa napokea hyo laki mbili kwenye english medium moja hapa mjini ila mkuu wangu kanifanyia hujuma na nimetimuliwa,yote tisa nashukuru kwa ushauri wako.
  3. J

    Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

    dah ubarikiwe sana ntafanya kama ulivyonielekezea afu ntakupa feedbach after 15 days ahead.
  4. J

    Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

    Mtalaamu anaefahamu ugonjwa huu anisaidie kabla sijaharibikiwa,kuna vinyama vimeota kwenye unyeo wangu *puru*kama ilivyo kwenye picha hapo naomba mnijuze japo dawa yake. ===============================================================================================================
  5. J

    Sifa za TARIME ni zipi?

    :A S kiss: Majanga
Back
Top Bottom