Na Jamaa alikuwa na bahati kweli kavuta jiko na ajira ikamfuata. Lakina pia mwaka wa kumaliza chuo ni 2018 na si 2019 Kama ilivyoandikwa.
Hakika Bila koneksheni ajira kupata ni bahati nasibu!
Mkuu kwa case ya Shafii sikulijua hilo. Kama nilivyoshauri watoto wasikose walimu kwa makosa ya wengne.
Case ya huyo dada nafikiri ni system tu ilishindwa kutambua. Lakini yote kwa yote watoto wasikose walimu wa masomo husika kwa uzembe wowote ule
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.