Features:
-Exellent 5mp camera.
-Front camera
-Whatsapp
-3G
Battery life.
Offline: 2days
Online: 16 hours
* VERY GOOD BATTERY.
* Charger available
*VERY GOOD CONDITION!!
Sababu ya kuuza: nahitaji kubadilisha simu.
Piga 0688 199 349
Features:
-Exellent 5mp camera.
-Front camera
-Whatsapp
-3G
Battery life.
Offline: 2days
Online: 16 hours
* VERY GOOD BATTERY.
* Charger available
Sababu ya kuuza: nahitaji kubadilisha simu.
Ninakijua vizuri nilichokiandika ndio maana nikacomment hapo. Vitabu vya maarifa vipo vingi sana, hata ubungo, mwenge vimejaa na ni bei poa, isitoshe hakuna anayekatazwa kununua.
Nduhu uliyeanzisha hii tread umeongea vitu vya kweli kabisa na nina kuunga mkono asilimia 100.
Tatizo la watanzania ni la muda mrefu sana, tangia utoto hatijapata elimu za muhimu kwa mfano kuhusu mambo ya pesa au kujisomea.
Mimi binafsi nimejifunza mambo mengi yaliyonibadilisha kutokana na...
unaweza kufanya hivyo. Kibisa! Na ni rahisi, naweza kukusaidia kuset up hivyo kitu. Muda si mrefu nitaandika makala ya jinsi ya kuuza vitu kwenye mtandao.
Siku hizi biashara zimerahisishwa sana na maendeleo ya mtandao wa intaneti unaowezesha watu kuuza na kununua vitu na huduma kupitia mtandao. Kwa sababu ya maendeleo haya, mara nyingi tunapokuwa tunatumia mtandao wa internet tunakutana na vitu mbali vizuri kama vile software, vitabu, nguo, saa...
Twitter ni mtandao wa kijamii unaotumiwa na zaidi ya watu million mia moja kwa mwezi. Ni moja kati ya mitandao maarufu duniani nyuma ya Facebook.
Twitter inakupa uwezo wa kuwasiliana na marafiki zako au wafuasi wako kwa meseji fupi zisizozidi herufi 140. Meseji hizo zinaitwa ‘tweet' au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.