Kabla hujaanza conclusion ni vyema ungeanza na kuuliza soko hili litakuwa na facilities gani. Pili ukae ukijua sio watanzania wote wakiwemo wakazi wa Ilala wana fursa ya kwenda mlimani city. Bado watu wanahitaji masoko yao wanunue nyanya na michele. Na labda hujawahi kwenda soko la kisutu...
Kwanza nikiri wazi ndio mara ya kwanza naona positive comment na umelenga kwenye issues na si passonality.
Ni wazi umiliki wa UDA uko chini ya Halmashauri ya jiji na si halmashauri ya manispaa ya Ilala. Ni wazi mimi ni mjumbe kwenye vikao vya halmashauri ya jiji lakini umesikia bungeni jambo...
Unapozungumzia barabara ya ulongoni A ukaacha kutambua juhudi zangu za ujenzi wa daraja(sio caravat) ulongoni A ambapo toka uhuru hata kivuko cha miguu hakikuwepo utakuwa hutendi haki. Kama kweli wewe ni mkazi utafahamu daraja hili halikuwa kwenye mpango nor bajet, tukalazimika kuuhamisha mradi...
Asante Moelex
QUOTE=Moelex23;3104416]Mh. Jerry Slaa, hongera kwa kazi unayofanya na vile vile kujaribu kujibu hoja humu JF.
Watanzania kwa ujumla wetu tunakabiliwa na tatizo sugu la kupenda sana kulalamika na kujifanya wajuaji wa kila kitu. Yaani sisi, kitu chochote kwetu kimefanywa...
Majuzi ulikuwa Kampala International University-KIU,kwa ajili ya mkakati huoo na umemwaga hela ukiamini vijana wanakupenda la hasha yawezekana hizo ni ndoto za buriani
Hivi unahitaji PHD kujua mwanafunzi wa. 1st year KIU anamaliza 2013 max 2014 na uchaguzi ni 2015!!!!!
Hukusoma hii!
Wakati unangoja tujenge barabara ya mombasa, kama hauna jambo binafsi, waseme na waliojenga road reserve na wanakimbilia mahakamani na kutaka billions za compansation as if hiyo barabara haitawanufaisha wao.
Kama unakaa Mongolandege sema tukuteue ujumbe wa kamati ya usimamizi...
Chama, kwa kifupi nimesema focus kubwa ni revenue inhancement na kupunguza matumizi ya kawaida na kutumia fedha nyingi kwenye miradi ya maendeleo. Afya, pamoja na kupanua zahanati ya Pugu na Chanika kuwa vituo vya afya vilevile zahati ya mongolandege ipo kwenye soft opening baadae tuiupgrade...
I thought nilirespond hii.
Matatizo mengi ya KIU ni ya TCU, Loan Board na serikali. Najitahidi kuwa karibu na wanaKIU na lolote ambalo wanaamini naweza kulitatua au kufacilitate utatuzi milango yangu iko wazi.
I know they have nothing to do na wananchi wa kawaida zaidi ya kuwafaidisheni wewe na maswaiba zako, ambao ni mafisadi wakubwa
Unaweza kulithibitisha hili na ukiwataja maswaiba?
Serikali ya mtaa madafu
Nimekuwa diwani kwa miaka 6 sasa na ninaheshimu misingi ya utawala bora. Mambo ya mtaa...
Hoja zote za msingi zilizotolewa hapa hajaweza kujibu hata moja. Anachofanya ni kuchagua vitu vyepesi ambavyo ni irrelevant na kuvijibu kwa majivuno
Mfano wa hoja?
Nasikiliza , lakini nashauri ujikite kwenye hoja na uelewa ninachoandika hapa ni muhtasari wa mambo mengi yaliyofanyiwa kazi na yaliyopo kwenye hatua mbalimbali za kutekeleza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.