Wabongo tumejaa unafiki, usaliti chuki, wivu, ujinga na umalaya.
Hivi inakuingiaje akilini kuchafua jina la mtu? Alishakuibia shilingi ngapi? Hebu justify shuhuda na siyo kuchafua jina la mtu ungali uliambiwa tu au ulisikia.
Haya mambo yatashikiria akili na maisha yetu mpaka lini? Mtu...
Yeah nasikia pia, lakini za chini chini (za connection).
Ila kama.una taaluma yoyote ile, nakushauri pia ujaribu kwa kuapply online. Mimi pia nafanya saivi kwa online. Ikipatikana connection nistue
Ni wangapi wako tayari na wamejitoa kimamilifu?
Mpambanaji wa kweli hasubirii ruhusa ya mtu, hakuna vijisababu sababu vya kindubwi.
Hebu tujuane walio tayari kulianzisha. Unaweza kuja PM
Hahaa achana nao mkuu. Ni wazi kabisa wabongo wengi wetu ni watu ambao uthubutu uliishia kwa mababu zetu. Tumeathiliwa sana na mfumo wa elimu yetu. Wengi wetu hatuwezi kabisa kutoka nje ya box, waoga wa kufa mtu, wababaishaji. Tunaongea kwa hisia kila jambo na kulitetea kuaminisha ufupi wa akili...
Safi sana mkuu, nina kila sababu ya kukushukuru sana kwa jibu lako makini.
Lakini kwa mstakabali wa uzi, sipo na nia yabkuDisclose taarifa za mtu binafsi, either taarifa zangu ama mtu yeyote kwamba anaExport hizi bidhaa.
Hata hivyo, lengo kuu ni kuleta mjadala wa suala hili katika jamii ya...
Safi sana mkuu, nina kila sababu ya kukushukuru sana kwa jibu lako makini.
Lakini kwa mstakabali wa uzi, sipo na nia ya kuDisclose taarifa za mtu binafsi, either taarifa zangu ama mtu yeyote kwamba anaExport hizi bidhaa.
Hata hivyo, lengo kuu ni kuleta mjadala wa suala hili katika jamii ya...
Heshima kwa wapambanaji wote!
Itoshe kusema itifaki imezingatiwa, na kwa heshima kubwa, napanda jukwaani nikilenga kujadili hili jambo la Export business!
Kwanza, hapana shaka kwamba Tanzania & East Africa na Africa kwa ujumla ni sehemu ambazo zimepata upendeleo sana katika raslimali ardhi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.