Recent content by Jero_pesa

  1. J

    Qatar na Dubai ndio nchi bora kufanya kazi Uarabuni

    Wabongo tumejaa unafiki, usaliti chuki, wivu, ujinga na umalaya. Hivi inakuingiaje akilini kuchafua jina la mtu? Alishakuibia shilingi ngapi? Hebu justify shuhuda na siyo kuchafua jina la mtu ungali uliambiwa tu au ulisikia. Haya mambo yatashikiria akili na maisha yetu mpaka lini? Mtu...
  2. J

    Natafuta kazi yoyote ya kunipatia kipato, naishi Dar

    Nina mashaka na uwezo wako. Anyway, siruhusiwi kujaji, lakini we endelea na huo mtazamo wa kitoto
  3. J

    Natafuta kazi yoyote ya kunipatia kipato, naishi Dar

    USIOGOPE mkuu. By the way so lazima uwe na degree! Nimekufata PM
  4. J

    Natafuta kazi yoyote ya kunipatia kipato, naishi Dar

    Mbona unakaza sana ubongo mkuu.
  5. J

    Qatar na Dubai ndio nchi bora kufanya kazi Uarabuni

    Yeah nasikia pia, lakini za chini chini (za connection). Ila kama.una taaluma yoyote ile, nakushauri pia ujaribu kwa kuapply online. Mimi pia nafanya saivi kwa online. Ikipatikana connection nistue
  6. J

    Ni nini faida, changamoto na hasara za kazi za nje ya nchi, hasa Mashariki ya Kati?

    Ni wangapi wako tayari na wamejitoa kimamilifu? Mpambanaji wa kweli hasubirii ruhusa ya mtu, hakuna vijisababu sababu vya kindubwi. Hebu tujuane walio tayari kulianzisha. Unaweza kuja PM
  7. J

    Ni nini faida, changamoto na hasara za kazi za nje ya nchi, hasa Mashariki ya Kati?

    Hahaa achana nao mkuu. Ni wazi kabisa wabongo wengi wetu ni watu ambao uthubutu uliishia kwa mababu zetu. Tumeathiliwa sana na mfumo wa elimu yetu. Wengi wetu hatuwezi kabisa kutoka nje ya box, waoga wa kufa mtu, wababaishaji. Tunaongea kwa hisia kila jambo na kulitetea kuaminisha ufupi wa akili...
  8. J

    Export business - From Tanzania to the world

    Safi sana mkuu, nina kila sababu ya kukushukuru sana kwa jibu lako makini. Lakini kwa mstakabali wa uzi, sipo na nia yabkuDisclose taarifa za mtu binafsi, either taarifa zangu ama mtu yeyote kwamba anaExport hizi bidhaa. Hata hivyo, lengo kuu ni kuleta mjadala wa suala hili katika jamii ya...
  9. J

    Export business - From Tanzania to the world

    Safi sana mkuu, nina kila sababu ya kukushukuru sana kwa jibu lako makini. Lakini kwa mstakabali wa uzi, sipo na nia ya kuDisclose taarifa za mtu binafsi, either taarifa zangu ama mtu yeyote kwamba anaExport hizi bidhaa. Hata hivyo, lengo kuu ni kuleta mjadala wa suala hili katika jamii ya...
  10. J

    Export business - From Tanzania to the world

    Heshima kwa wapambanaji wote! Itoshe kusema itifaki imezingatiwa, na kwa heshima kubwa, napanda jukwaani nikilenga kujadili hili jambo la Export business! Kwanza, hapana shaka kwamba Tanzania & East Africa na Africa kwa ujumla ni sehemu ambazo zimepata upendeleo sana katika raslimali ardhi na...
Back
Top Bottom