Dah!hadi nimechoka,kweli humu kuna ma great thinkers.Mimi natokea mpakani na maiti nlizishuhudia kwa macho yangu ila kwa mawazo yangu na Mimi sikuwahi kuamini kuwa hao watu m1 watutsi wameuawa na wahutu(nterahamwe),tulipaswa kujua na upande wa pili walikufa wangapi(yaani wahutu)hainijii akilini...
Uko sawa mkuu sema tatizo umeponda badala ya kutufundisha njia za kupata hayo magari ya kizungu badala ya mjapani.Binafsi gari yangu ya kwanza kumiliki ni landrover discovery 200tdi,japo sasa natumia Carina ti hahahaha.Ukweli magari ya kijapani ukipata breakdown sehemu yoyote gari itatengenezwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.