kweli hii yote ni sababu ya kuwa na taifa lisilomwogopa MUNGU sasa hao majmbazi watakwenda wapi na hayo madini?watamuuzia nani??na huyo m2 aliyewatuma hao watu anadhani ataukimbia mkono wa sheria kiraisi???
chadema haiwezi kushirikiana na mtu yeyote anayetokea ccm kama ccm wamemtosa asijipendekeze chadema cc kama chadema tunajitosheleza hatuitaji sapoti ya m2 yeyote kutoka chama cha mapinduzi!!!
hivi kukashifu uongozi ni kosa??mbn viongozi wa serikali wanakashifiwa na hawasemi lolote!!!iweje clouds wakasirike??me naona wanachuki binafc na jaydee na watashindwa!:disapointed:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.