Hembu share na sisi hiyo plan b mimi tangu nimemaliza mwaka jana mwezi wa sita education mpaka sasa nimefanya kazi sehemu tatu na sasa niko gvep international na education yangu niambie umejipangaje naweza share nawe uzoefu
Asante sana mkubwa kwa maelezo marefu nikiongeza ntaharibu, binafsi kwa hii program ya expedition 5 week Raleigh Tanzania nimejifunza mengi sana na niliyojifunza kama ningeambiwa nilipie nisingeweza kumudu fee,volunteer manager wenzangu waliotoka UK wame fundraise zaidi ya milioni 18 ili waweze...
katika hizo picha kuna watu nawaona ambaoa wanafanya kazi Raleigh Rose, isaya , na Ben so ukifanya vizuri Raleigh wanakuchukua ufanye nao kazi ku volunteer inaweza ikapelekea kupata ajira so mwambie dogo asiogope ajiunge
mi nakataa wanajali sana swala la matibabu coz mimi nilikuwa iringa treck nikaumwa gari ilikodishwa kutoka ruaha hadi iringa mjini laki na kumi matibabu laki mbili nikaletwa moro na bravo (gari ya raleigh) na nikakaa fildbase kwa uangalizi zaidi wanajali sana si kwa mbogo wala mzungu, mi...
Magojwa ni mengi sana katika huu mji na pia kuna uchakachuzi mwingi sana hasa katika vitu vinavyotumiwa kimwili na mwanadamu,Moro ingeweza kuwa nzuri endapo miondombinu has a ya maji ingeboreshwa,lakini pia udhibiti wa bidhaa feki ni nyingi sana hapa na ndio zinapelekea magonjwa mengi.
hakuna kitu kama hicho unachagua masomo unayoweza wewe mwenyewe na sio kuchaguliwa kwani degree unachukua wewe au wao??? usiogope kuichagua hiyo kamanda.
jaman hi kazi ya TRA mbona nikifika sehem ya kusubmiti wanasema add at least one qualification nikienda ku add nakusabmit mambo yaleyale nisaidien wanahitaji kitu gan?:help:
sasa kaka mimi niko dar hadi sasa nikijaribu inakataa nikaongea na rafiki yangu yuko nje ya dar alikuwa dodoma yeye alifanya bila matatizo nikampa detail akanifanyia bila shida kwahiyo jaribu kucheki marafiki wa mikoa tofauti mana hili tatizo limeanza tangu wahame
jamani nashukuru sana wadau ilibidi niende bodi nikijua ipo pale tirdo ndo nikaambiwa kwamba wamehamia mwenge kwahiyo bado mawasiliano hayajakaa vizuri ndo mana hakuna network connection,nawashukuru sana kwa msaada.jioni njema wote
nimesha lipia bodi na nina username na password ila niki login ujumbe huu unakuja A Database Error Occurred Unable to connect to your database server using the provided settings.
naomba msaada ndugu zangu asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.