Recent content by Jeph tephlon

  1. Jeph tephlon

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    Mwl.RCT kwema! Huu mzigo had niupate itakuwaje?
  2. Jeph tephlon

    PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

    Nipo chuon huku tabora, sema nakuja dar around next week nafuata ada kwanza
  3. Jeph tephlon

    PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

    niko chuoni ila soon nakuja dar, nkifika lazma nkutafute [emoji3577][emoji3577]
  4. Jeph tephlon

    PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

    Habari fellow gamers! Kwa anaejiamini n mkal wa pes pc version aje nimfue kidogo, awe anaweza kwel kwel. mm binafsi napendelea pes 18 zaidi kuliko pes 19
  5. Jeph tephlon

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    Mkuu naomba namb zako za whatsup tufanye kazi
  6. Jeph tephlon

    Msaada: Wajuzi wa computer

    Sasa hio c low profile bro
  7. Jeph tephlon

    Msaada: Wajuzi wa computer

    Cheki hii aliexpres nimeikuta, andaa kama 230 iviii au 210k utaipata
  8. Jeph tephlon

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    Mwalim RCT. hii bidhaa nataka ni nunue, had inifikie gharama yake n shingap?
  9. Jeph tephlon

    Tanzanians, show us your roads

    Bt its nice mmejitahidi [emoji122]
  10. Jeph tephlon

    Tanzanians, show us your roads

    wakenya mme improve kwa kwel, bt naona hizo barabar nyingi n mpya, cc bongo zmejengwa mda kidogo barabar zetu
  11. Jeph tephlon

    Msaada: Wajuzi wa computer

    Hii pc nimeuzia shida, bt next tme ntanunua new generation nataka i7 8700! au 8700K
  12. Jeph tephlon

    Msaada: Wajuzi wa computer

    oky, ila tafuta low profile, 750 ti saiv zna bei ndogo 2 ebay
Back
Top Bottom