Wizara ya Nje ya Marekani imeagiza mofisa wake wanaoshughulika na Mashariki ya Kati wasije sema vita kati ya Hamasi na Israel visitishwe au kusimamishwa.
Gazeti la HuffPost limeandika:-
"As Israel escalates it's attacks on Gaza the State Dept. Is discouraging diplomats working on Middle East...
Misri IPO Afrika na Mashariki ya Kati. Sinai na bandari maarufu kwa utalii ya Sham El Sheik ni sehemu ya Misri. Inaeleweka hizo haziko Afrika.
Kuhusu suala muhimu SASA hivi ni UBINADADAMU kuzingatiwa na pande zote - Israel na Hamas pamoja na wachonganishi wakubwa wa migogoro eneo hilo.
Ukizungumzia Waarabu kusaidia ndugu zao wa Palestina huko Gaza ni sawa. Unapoingiza Uislamu sio sahihi, kwani Palestina ina Waarabu Wakristo na wamekuwepo huko kwa miaka zaidi ya 2000. Wakristo hao ndio walitemewa mate na Wazayuni hivi karibuni kule Yerusalem.
Niliwahi kuandika hapa kuwa PhD za kitaaluma na za heshima ni vitu tofauti sana. Ile ya heshima anatunukiwa mtu ambaye tayari yuko kileleni katika fani anayotumikia--nasiyo PhD ya kutafutia uprofesa au ajira.
Napenda Wa-Amerika wanavyofanya.Wanasiasa wanaitwa na kutajwa kwa majina yao. Sio...
Tanzania hatufikirii dhehebu, kabila n.k. tunapochagua raisi na viongozi wengine wa kisiasa. Ndio maana tuna amani. Sitazungumzia uchama au janga la Uchaguzi Mkuu wa 2020!
Asante. Nakubali ugomvi huu ni "complicated" na hasa pale anayejiona ni kiranja wa dunia- USA anapopendelea upande mmoja hata pale maazimio ya UN yanapokanyagwa.
Wa-Tz tukumbuke haya yanayotokea Gaza ni marejeo ya madhambi ya utawala wa makaburu huko Afr. Kusini. Nchi za Magharibi ziliunga mkono ubaguzi na ukandamizaji wa Weusi kama wanavyounga mkono Israel sasa hivi katika ukatili wao kwa Wa-Palestina.
Ukweli ni kuwa mzungu anamchukia Mwafrika kuliko...
Si vizuri kunyanyapaa watu wenye ulemavu wa akili kama huyo Mwamerika mweusi uliyemwonyesha kwenye picha. Watu hao wako duniani kote, yawezekana hata katika familia yako. Hizo ni propaganda chafu dhidi ya watu weusi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.