Recent content by Jensen Scott

  1. J

    Tundu Lissu atinga Bungeni na kuamsha ari ya Bunge

    Lissu ni zaidi ya zaidi
  2. J

    Bungeni Leo - Aprili 1, 2015: Bunge laahirishwa ghafla, Muswada wa Vyombo vya Habari kusomwa!

    CCM hawapendi kukhbali ukweli kura ya maoni haiwezi kupigwa uwezo wa kuandikisha watanzania wote kwa sasa haupo na haiwezekani, tujiulize zimebaki siku ngapi na wangapi wameshaandikishwa? Ushauri wangu hili niletu wote yulitafutie muda mwingine tuweke sawa mambo ya msingi tufanye uchaguzi mkuu...
  3. J

    Nimejizatiti kumtoa Sitta na CCM Urambo kwa tiketi ya CHADEMA

    Komaa kamanda mtoe huyo mzigo hanalolote
  4. J

    Jakaya Mrisho Kikwete, Mungu atakulipa!

    This country needs more that that
  5. J

    Picha: Kwa mwendo huu Vincent Nyerere anaifuta CCM Musoma Mjini

    Mbele kwa mbele tuwazike wazima hawa jamaa
  6. J

    CUF: Hatutashiriki kura ya maoni kwa katiba inayopendekezwa

    Katiba sio sawa na ilani na ya ccm kwamba mnavyotaka iwe ndio inakuwa, hii ni mali ya Watanzania wote hata wasio na vyama vya siasa bila ya watu wengi kuiunga mkono inakuwa haina uhalali kitaifa.
  7. J

    CUF: Hatutashiriki kura ya maoni kwa katiba inayopendekezwa

    No kishindo this time, elewa sio cuf tu kuna cdm, nccr and others i mean UKAWA wote hawashiriki hiyo katiba inakiwa imekosa uhalali nakwa sababu hiyo haitodumu.
Back
Top Bottom