CCM hawapendi kukhbali ukweli kura ya maoni haiwezi kupigwa uwezo wa kuandikisha watanzania wote kwa sasa haupo na haiwezekani, tujiulize zimebaki siku ngapi na wangapi wameshaandikishwa? Ushauri wangu hili niletu wote yulitafutie muda mwingine tuweke sawa mambo ya msingi tufanye uchaguzi mkuu...
Katiba sio sawa na ilani na ya ccm kwamba mnavyotaka iwe ndio inakuwa, hii ni mali ya Watanzania wote hata wasio na vyama vya siasa bila ya watu wengi kuiunga mkono inakuwa haina uhalali kitaifa.
No kishindo this time, elewa sio cuf tu kuna cdm, nccr and others i mean UKAWA wote hawashiriki hiyo katiba inakiwa imekosa uhalali nakwa sababu hiyo haitodumu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.