Ahsante mkuu lakini vigezo sio vigumu. Sema wengi wanadai kwenye kujishughulisha hapo ndo nilipoharibu maana yake wengi wapo tu nyumbani. Sasa tusipotafuta wote maana yake tuwazimie simu wazazi na ndugu.
Ni vile mambo yamebadirika. Huwezi kumtegemea mume kwa kila kitu lazima na wewe ujishughulishe. Kumbuka siku hizi tumejijengea tabia ya watoto kuwapeleka shule za kulipia ili nao wapate elimu ya ushindani. Hebu fikiria zile shule gharama zake ni milioni kabisa. Baba bahati nzuri nina kamshahara...
Aisee ubarikiwe sana. Sijajutia kui-download yaani nasikiliza neno la Mungu huku napata raha. Mfano ile Mathayo mlango wa 5. Zile Heri ukizisikiliza kwa audio unapata burudani kabisa. Ubarikiwe sana nataka niipe nyota tano
Sijaelewa sijajua ninachokitafuta kiaje. Natafuta mke lakini nimeeleza wazi naanza maisha hivyo nataka wa kuanza nae. Nikisema nizichange mwanamke wakuja kunikuta na kila kitu si ndo atakuwa hajanipenda mimi sasa watakuja kunipenda warembo kwa vile wamenikuta na kila kitu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.