Recent content by Jemedary

  1. J

    Wakuu Yetu Microfinance Bank Wameshaita watu?

    Waliita zile kka,watu wako kazini
  2. J

    Hili lina ukweli kuhusu waliopata 49-45 written interview ya TRA?

    unataka ukweli gani?kwakuwa mshazoea kudanganganywa basi yatatoka leo saa6 usiku
  3. J

    Wakuu Yetu Microfinance Bank Wameshaita watu?

    Jamaa tulihustre wote huyo miaka ya 2015-2017 Lastly alilamba ajira TRA,then after kila nikimtafuta akawa ananitema,ila tulikua washkaji sana
  4. J

    Serikali kutangaza ajira mpya 32,000 wiki ijayo, Afya na Elimu kunufaika zaidi

    Kwa namna hii kiswahili kuandika ni shida,je ile lugha iliyofika kwa meli utaweza kuandika kwa usahihi?harafu mkifeli Interview mnasema kuna watu wamewapanga
  5. J

    Serikali kutangaza ajira mpya 32,000 wiki ijayo, Afya na Elimu kunufaika zaidi

    Someni katika tovuti ya Sekretariat ya Ajira kuna ufafanuzi wameueleza leo
  6. J

    Hili lina ukweli kuhusu waliopata 49-45 written interview ya TRA?

    Jipe muda kiongozi,Mambo mazuri hayahitaji presha na haraka
  7. J

    Matokeo ya MNH ya usahili uliofanyika Duce: Wasailiwa waliochaguliwa kuendelea na usaili wa mahojiano

    Nilikua namba moja kusifia Utumishi wako fair ila kwa ili sitaki kuamini hata kidogo No fair Competition saiz uko PSRS
Back
Top Bottom