Hivi 2015 kulikuwa na CCM? Ama watu walichagua magufulo?, huyo membe si ukale nae ugali kama unampenda?...... Hivi hujui kama magufuli anaibeba ccm? Eti 2020 msifanye kosa......au mtakuea ndo mnakosea maana mtabaki na mafisadi wenu sisi tutaenda na magufuli wetu.......zama hizi nani anataka haya...
Safi sana tunafumba macho....tunaamua..eti miaka 99 na hao wasonjo hapo watawinda nini?...... Hivi tulilogwaga na nani?....... Safi kingwangala ila ukumbuke jimboni tunakuhitaji ujenge hii barabara ya kutoka busondo kwenda tongi
Nani kakudanganya.......we waache tu wajidanganye na hako kabunge chao........hivi umeyaelewa hayo maandishi ya kiingereza ama we unaona Picha tu........acha kuwadanganya wazanzibar .....kama unalako sema
Rais anatupeleka kwenye uchumi wa kati, tanzañia ya viwanda na nchi ya wafanyakazi zinazotamvulika siyo wapiga dili.........kama unakaziyako unakuwaje na wasiwasi we jenga nyumba na peleka watoto shule wenzako ndo wanafanya hivyo ila kama ni mjanja mjanja mjini hapa tafuta kazi ulipe...
Hao wachumi wanaojua hayo wamefanya nini tangu wawe hapo benki kuu....mwacheni rais afanye yake.....yan hata akiweka mkulima mi naona sawa 2.... Eti kuna kipindi nilihudhuria kikao cha Repoa keynote speaker alikuwa gavana anayetoka na pale tupo wachumi kibao halafu anasema eti sekta inayoongoza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.