Recent content by jembeone

  1. J

    Rafiki yangu wa ukubwani kafariki kisa ndoa

    Shida ni kwamba hachati mbususu??, mbona inaonyesha still una huruma ndani yako?? Au kunachangamoto ipi ambayo huwezi rekebisha mpaka utake kumpoteza mwamba??
  2. J

    Rafiki yangu wa ukubwani kafariki kisa ndoa

    mh ila mbona kama kawa kichaa mkuu, ila litakukuta jambo. Mungu ibariki tanzania tubariki wanaume, maana dada unamoyo wa kiume mwamba moyo wa kike? Ila ungekuwa wangu kwa moyo huo nishataambaa kitambo najua nisipokaa kwa kutulia utanitia petrol
  3. J

    Rafiki yangu wa ukubwani kafariki kisa ndoa

    wangemuacha afe mungu akam binye makende yanayomuongoza kuliko akili pumbaf kabisa!, kisa mwanamke??, hii ni tabia ya kike kabisa wanaume tumekuwaje lakini, wana tunakikao serena hatuwezi kwenda kwa mwendo huu!!. Duh jinga kabisa, dada ungeenda na petrol
  4. J

    Kuna madhara gani ukitoka na mpangaji mwenzio?

    mkuu, kiongozi kaona madhara makubwa kuliko faida! Mabaharia mpaka liwakute jambo ndo waelewe.
  5. J

    Je, ni "Stamina" au "Size" ya uume ndio humfanya mwanamke afurahie zaidi ngono?

    sijui niseme wanaume wengi tukilielewa hili tutaacha kuishi na expectation, wanawake wengine unakila kitu ila akavutiwa na ukarimu, mwenekano,wadhifa na n.k wa mtu akatoa nje. Coz ugali kila cku unachosha na tusisahau mungu kampa kila mtu safari yake so likukuta imekula kwako mjuba, jikaze...
  6. J

    Hii tabia ya wanaume kulialia kisa mapenzi nini shida?

    eti unasema nitalia kama yule wa hamida? Come on nigga!, mengi nimeyaona na kupitia so sio mgeni huko.
  7. J

    Hii tabia ya wanaume kulialia kisa mapenzi nini shida?

    Hahahaha wee mwamba umenifurahisha, akimaliza anakuja kufungua uzi huku anatuchanganyia mafolder!
  8. J

    Biashara ya Ngono jijini Dar inatisha, yazidi kunawiri

    true man halafu mtu anasema mchafu kahaba kuliko huyu mke, halafu unapiga peku miksa kuchubuana unaonyesha umwamba kwa mke!
  9. J

    Hii tabia ya wanaume kulialia kisa mapenzi nini shida?

    Kitu ambacho sisi wanaume wengi hatukiju wanawake now wana uwezo wa kujitegemea na sio tegemezi inapaswa kufahamu huyu mtu anakuwa na machaguzi na kuwa na yeyote amtakaye so ukimuona kachagua kuondoka jua hakuwa ridhiki yako so go on instead kulialia thus how men should be! Kulialia siyo tabia...
  10. J

    Hii tabia ya wanaume kulialia kisa mapenzi nini shida?

    Imefikia hatua hadi inakera yaani! sijui tuanzishe kampeni to teach boys how to be a man? Maana inachefua, nigga unafungua uzi manzi hakupi mbususu!, unaomba ushauri? unamaliza mwenyewe kwa kupiga chini!
  11. J

    Hii tabia ya wanaume kulialia kisa mapenzi nini shida?

    True man!, Wazee wetu hakuwa wakililia mapenzi kama sie, hamaanishi walikuwa hawaumii bt walijikaza na kuendelea na maisha.
  12. J

    Hii tabia ya wanaume kulialia kisa mapenzi nini shida?

    Kumekuwa na wimbi kubwa la wanaume kulilialilia mapenzi, hivi ni dalili udhaifu baadhi yetu tulionao na kukosa uanaume ndani yetu? Guys sometimes tujikaze na kumuacha aende bila kukupesa macho kuliko kusubiri kuja kulialia humu, hata kama unampenda jikaze kiume muonyeshe msimamo na muache...
  13. J

    Mchumba wangu ananipa masharti magumu ninapotaka kufanya naye mapenzi

    wanaume wa siku hizi tumekuwa wadhaifu hata sijui tunakwama wapi!, broo piga chini tafuta anayekupenda maisha mafupi kulialia kuomba mbususu ni dalili ya udhaifu kabisa.
Back
Top Bottom