Kwanza nikupe benefit ya kwamba wewe ni mgeni ndani ya wizara ya Afya, hivyo hustahili lawama wewe binafsi kwani ulifanya vizuri kazi yako nzuri ukiwa TAMISEMI.
Hivi unajua kuna manesi na madaktari waliopo kwenye hospitali zilizoko chini ya Wizara ya Afya (Mirembe, Rufaa Mbeya, Kibong’oto)...
Hawa jamaa wanaishi karne ya ngapi sijui. Sijui wamerogwa? Wako rigid. Hawaendani na muda.
Ofisi ya Utawala ni ya hovyo, yafanya kazi kwa mazoea. Ukipata ajira leo, utasota sana hadi uingie kwenye payroll. Mwaka jana ndugu yangu kapata kazi Muhimbili, na wenzake classmates waliitwa UDSM. Ndugu...
Malengo ya TAKUKURU kwa kiasi kikubwa yanazidi kufanikiwa, na kwa hakika yanalisaidia TAIFA.
Lakini SHIDA kubwa ya TAKUKURU ni BAADHI ya WATUMISHI wake kujiona KAMA wako JUU YA KILA KITU. Sijajua kama ile miezi MITATU ya kule MILIMANI MOROGORO ndio huwafanya hawa maafisa wachunguzi wajione wako...
Kuna baadhi ya vitu ni kupoteza muda tu. Polisi hawana ubavu wa kujua kwenye kundi kunaongelewa nini unless members atoe siri. Serikali ijikite kwenye mambo yenye tija.
Ninajiuliza, ni kweli majaji hawalipi kodi? Kama kweli kwani wao wana kitu gani special hadi wapate treatment kama hiyo? Daktari analipa kodi, engineer analipa kodi, advocate analipa kodi, kwanini jaji asilipe kodi? Nadhani hiki kinapaswa kurekebishwa.
Historia inaonesha kulikuwa na makabila mengi miongoni mwa wazungu, lakini karibu yote yalishapotea kama Warumi (sijui tuite walipotea) na mengine mengi. Majina yake ni magumu unaweza search. Yapo mawili matatu yaliyobaki kama kabila la Wasami wanaoishi Finland.
Ila tujue tu kwamba mchanganyiko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.