Wakati umefika kwa wa Tanzania ku engage na kuchambua siasa kwa uhuru pasipo kuwategemea sana wanaharakati na wapinzani kwani kila mmoja ana agenda zake binafsi anazozificha nyuma ya pazia la MAPINDUZI/MABADILIKO.
Mfano: Maria Sarungi, Cyprian, Hilda, Tito, Mbowe, Kigogo, Ansbert Ngurumo ni...