kwanini serikali kupitia idara husika iwe inafatilia mwenendo wa vipindi,makala na baadhi ya maandishi kwa upande wa magazeti,kisha wakigundua kuna ukia=-ukwaji wa maadili na taaluma wanakifungia ama kukifuta kipindi husika na mtangazaji ama mwandishi wake anapelekwa mahakamani,hii ingeweza...
Kwakweli umenisikitisha mno mkuu MWAKABANJE kwa hoja yako hiyo ,nimekuvua ukamanda wako wote ulionao hapo SAUT.yaani umeshindwa hta kufikiri jinsi gani hata TanzaniaDaima linaweza pata taarifa za Kigoma?shame
Chama cha mapinduzi (CCM)wilayani Kibondo mkoani Kigoma imepanga kufanya hujuma kubwa kwa chama cha democrasia na maendeleo (CHADEMA),CCM ikwa kuwatumia vijana wake wa green guard imepanga kung'oa bendera zote za CHADEMA mjini humo usiku huu,kwa mujibu wa katibu mwenezi wa CHADEMA wilayani humo...
Imebainika kuwa zile harambee anazoalikwa waziri mkuu aliejiudhuru kwa kashfa ya ufisadi Edward Lowasa na kwenda kuchangia mamilioni ya fedha makanisani na baadhi ya misikiti na taasisi zingine ni masharti ya kuingia Ikulu kama rais ajaye wa Tz, kwa mujibu wa taarifa nilizozipata ambazo...
wakati rais wa Brazil alikatisha ziala yake ya nje ya nchi kutokana vifo vya raia wake kwenye kumbi za muziki na wakati rais Obama alistisha kampeni zake za kuwania urais wa Marekani kwa mda kutokana na kimbunga kikali kilichopga baadhi ya majimbo na Leo Rais Nkurunziza wa Burundi amekatisha...
acha udini mkuu adui namba moja wa mtz ni shetani,ufisadi,ujinga,maradhi,n adui namba 1 wa mwislamu ni shetani na si mkristo na adui wa mkristo ni shetani na si mwislamu,je umeyashinda yote hayo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.