Watanzania wote tunaonekana hatuna akili mbele za macho ya wenye akili waliopo nje ya Tanzania.
Kulikua na ulazima gani wa yeye kuchoma mafuta toka Magogoni mpaka Kurasini?
Kwanini asingenyanyua simu akawapigia wahusika wayaachie na sisi tungeona kupitia nyaraka za Ikulu?
Kwanini asingetumwa...
Shule ya kwanza kujengwa na serikali ya kikoloni Tanga School kama sikosei ni mwaka 1893
Baada ya Uhuru mwaka 1967 ile shule ikaonekana ni ndogo pale ilipojengwa ndipo ikasogezwa pembeni kidogo eneo linaitwa Makorora na ikajengwa upya ndio inaitwa Tanga Technical Secondary. Yale majengo yake ya...
Msigwa, The Great Thinker.
Watu walitaka amtukane rais, hapana hata mimi nisingeweza kumdhalilisha mkubwa wangu wa kazi hadharani. Huu ndio utamaduni wetu waungwana.
Uhaini ni kosa baya sana! Fanya makosa mengine yote lakini usijaribu kwa namna yoyote kuihujumu serikali iliyopo madarakani! Hauwezi kubaki salama.
Waelimisheni na wengine.
Nini maana ya uzinduzi?
Nafikiri yule aliekua wa kwanza kutumia ndie angeitwa mzinduzi lakini sio rasmi. Kiswahili kizuri tuseme amezindua rasmi.
Ila mheshimiwa rais ameharibu kuwaruhusu Machinga na Mama Lishe kuingia humo ndani, wataharibu mandhari ya kituo hicho labda watengewe eneo lao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.