Recent content by Jembe Jembe

  1. Jembe Jembe

    Aliyeshinda kura za maoni Udiwani akamatwa na shehena ya mirungi Arusha

    Kikosi Maalumu cha Kudhibiti dawa za Kulevya kutoka makao Makuu Dodoma, kumewatia mbaroni watu kadhaa akiweni mshindi wa kura za maoni wa udiwani katika kata ya Levolosi,ABBAS HAJI Jijini Arusha baada ya kukutwa na kiasi kikubwa cha dawa za kulevya . Wengine ni Rehema Mwinchumu katibu wa ccm...
  2. Jembe Jembe

    GE2025 Katibu wa CCM kata ya Osunyai -Arusha , adaiwa kuvuruga uchaguzi wa udiwani

    Baadhi ya watia nia wa udiwani katika kata ya OSUNYAI jijini Arusha wamelalamikia mchakato wa kumpata mwakilishi wa chama cha Mapinduzi wakidai kulikuwa na mapungufu mengi ya kutofautiana kwa idadi ya kura za ubunge na udiwani katika mchakato huo huku wakimtuhumu msimamizi wa uchaguzi,ZUBEDA...
  3. Jembe Jembe

    MFANYABIASHARA ALIA NA POLISI ARUSHA KUKATAA KUFUNGUA KESI,ADAI KUDHULUMIWA MAGARI NA MDOGO WA MBUNGE

    MWEKEZAJI wa sekta ya usafirishaji jijini Arusha ,Patrick Mulokozi amelalamikia Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha kwa kushindwa kumpa ushirikiano kuweza kupata mali zake ambazo ni mabasi mawili aina ya Costa aliyokuwa amekodisha kwa kampuni ya usafirishaji ya Impala shato inayofanya biashara ya...
  4. Jembe Jembe

    Mfanyabiashara Arusha amchoma mfanyakazi wake na pasi

    MFANYABIASHARA Maarufu anayemiliki vituo vya mafuta jijini Arusha, Maganga Lago anatuhumiwa kumfanyia ukatili wa kutisha mfanyakazi wake wa ndani aliyetajwa kwa jina Moja la Teleza raia wa nchi Jirani kwa kumpiga na kisha kumchoma na pasi ya moto akimtaka kimapenzi. Tukio hilo ambalo...
  5. Jembe Jembe

    PreGE2025 Mwanaharakati Odero Charles Odero ajitosa kuwania nafasi ya Uenyekiti CHADEMA Taifa

    .Utangulizi. hata uhuru wa watu kutoa maoni,lakini pia dhana ya maendeleo ilikuwa inatafsiriwa kwa serikali Hiki kilikuwa ni kilio cha ndani nan je,mfumo wa chama kimoja ulizima uhuru wa watu kujieleza na na huduma zote za kijamii ili kupunguza ukali wa maisha kwa watanzania.Joto la kubadili...
  6. Jembe Jembe

    DPP lawamani kesi ya Mwekezaji kukaa mahabusu muda mrefu, hakimu acharuka ataka upelelezi uharakishwe

    Na Mwandishi Wetu, ARUSHA MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha imeutaka upande wa mashtaka katika kesi ya Uhujumu uchumi inayomkabili Mfanyabiashara na Mwekezaji Saleh Salim Alamry (54) na mwenzake wakili Sheck Mfinanga, kuharakisha upelelezi wa shauri hilo ili kesi ya msingi ianze kusikilizwa...
  7. Jembe Jembe

    Wanafunzi chuo cha MUST wadaiwa kufariki machimboni Mererani

    Wanafunzi wawili wa Chuo Kikuu cha Sanyansi na Teknolojia (MUST), wamepoteza maisha baada kuvuta hewa chafu katika mgodi wa machimbo ya madini ya Tanzanite, WA Flanone Mining uliopo katika Mji Mdogo wa Mererani, wilayani Simanjiro, mkoani Manyara, ambako walikwenda kwa ajili ya mafunzo kwa njia...
  8. Jembe Jembe

    Mkurugenzi wa Makampuni ya Vanilla Matatani kwa utapeli, RC Makonda aagiza awekwe chini ya ulinzi hadi alipe mamilioni aliyotapeli

    Mkurugenzi Mwanzilishi wa Makampuni ya Vanilla International Limited, Simon Mnkondya amejikuta Mikononi mwa Polisi Mara baada ya kutajwa kutapeli wakulima wa Vanila mamilioni ya fedha na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paulo Makonda kuagiza akamatwe na alipe madai yao chini ya ulinzi mkali wa polisi...
  9. Jembe Jembe

    DOKEZO Wananchi wa Kondoa wamkataa Mkuu Wilaya, wamtuhumu kutumia polisi kuwapiga raia wakiwa uchi

    Wananchi wa kijiji cha Hurui, kata ya Kikore wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma, wamelalamikia kitendo cha askari polisi wilayani humo, kuwakamata na kuwapiga wakiwa uchi wa mnyama usiku wa manane kwa amri ya mkuu wa wilaya hiyo, Dkt. Hamis Mkanachi, kwa madai kwamba wanashiriki kuchochea mgogoro wa...
  10. Jembe Jembe

    Askofu Monabani alizwa mahakamani, mahakama yatupa rufaa yake

    Mahakama ya rufaa kanda ya Dar es salaam chini ya majaji watatu leo imetupa shauri la rufaa namba 407/2021 lililofunguliwa na Mfanyabiashara Maarufu, Askofu, wa Kanisa la KKAM, Philemon Mollel akipinga hukumu iliyompa ushindi William Titus Mollel katika mgogoro wa kugombea eneo lililopo Ngulelo...
  11. Jembe Jembe

    Mfanyabiashara bilionea Dar es Salaam, adai kutishiwa maisha, akimbia kwa pikipiki kutoroka asiuawe hadi Arusha

    Mfanyabiashara maarufu wa Magari Jijini Dar es Salaam, Samweli Shami maarufu Bilionea Shami, amedai kutishiwa maisha na watu aliodai ni vigogo wa polisi jijini humo na kulazimika kuyakimbia makazi yake kutoka dar akitumia usafiri wa pikipiki na kukimbilia jijini Arusha. Akiongea na vyombo vya...
  12. Jembe Jembe

    Mfanyabiashara maarufu wa vituo vya mafuta Arusha adakwa na Takukuru akijifanya ofisa misitu na kupokea rushwa

    Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Takukuru Mkoa wa Arusha imemkamata mfanyabiashara maarufu anayemiliki vituo vya mafuta jiji la Arusha, Maganga Baha lago akituhumiwa kujifanya afisa Misitu na kuomba rushwa ya shilingi 100,000. Kamanda wa Takukuru Mkoa, Zawadi Ngajilo amethibitisha...
  13. Jembe Jembe

    Vigogo watano Polisi Arusha mbaroni kwa rushwa ya Milioni 10,mmoja ashikwa na presha aanguka akihojiwa na tume ya IGP

    VIGOGO Wandamizi watano wa Jeshi la Polisi Mkoani Arusha wanatuhumiwa kuchukua rushwa ya shilingi milioni 10 na kuachia madawa ya kulevya aina ya Mirungi kilo zaidi ya 1200 yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 60 katika tukio lililotokea desemba 5 mwaka huu eneo la Burka kata ya Elerai...
  14. Jembe Jembe

    Polisi aliyekodi majambazi kumuua mumewe akamatwa, hawara ni miongoni mwa wahusika

    Siku moja baada ya taarifa za mkaguzi msaidizi wa polisi kituo cha USA River Mkoani Arusha, Demetrida Sweethbert Thadeo kuanikwa kupitia mtandao wa Jamii Forums akidaiwa kukodi majambazi ili kumuua mumewe, hatimaye jeshi hilo limemkamata na yupo mahabusu imefahamika. Taarifa za uhakika zimedai...
  15. Jembe Jembe

    Kigogo wa Polisi Arusha adaiwa kukodi majambazi wamuue mumewe, wamkatakata kwa mapanga

    Mkaguzi Msaidizi wa Jeshi la Polisi kituo cha Usa River, Demetrida Sweethbert Thadeo Mkazi wa Momela, wilayani Arumeru Mkoani Arusha, anahojiwa na polisi katika kituo hicho akituhumiwa kukodi majambazi waliomjeruhi kwa mapanga mumewe Daud Thomasi Ayo kutokana na ugomvi wa kifamilia. Kwa mujibu...
Back
Top Bottom