Recent content by Jeitakuajejaji

  1. Jeitakuajejaji

    Majizo alivyotinga ukumbini tuzo za Samia na nguo za kulimia shambani

    Naunga mkono hoja Majizzo hajawahi kujua kuvaa tokea akiwa Dj hadi leo akiwa na pesa
  2. Jeitakuajejaji

    Kwanini Afrika ni masikini? Au kuna mnyororo wa kiroho unaotushikilia tangu mwanzo?

    Ulipoweka wazo la mambo ya kufikirika ya "mungu" ndio ulipoonyesha udhaifu wa umaskini wenyewe kwa mwafrika... tukiondoa hizo dhana za tamaduni za mkoloni tu ..Afrika itapaa na kuwa yenye nguvu sababu kila kitu tunacho..
  3. Jeitakuajejaji

    KERO Feni na AC katika Majengo mengi ya Chuo cha DIT - Dar ikiwemo Maabara hazifanyi kazi

    Namimi ndio nawaza hapa hvyo hvyo ,chuo cha teknolojia kinakosaje mafundi ?
  4. Jeitakuajejaji

    Mkuu wa Majeshi Afrika Kusini amjibu Rais Kagame

    Hawana na hawajawai kuwa nayo ... hata nchi tu za umoja wa NATO ni Uk and Germany ndio wanazitumia tena chache...hiyo video ya jamaa ni from game
  5. Jeitakuajejaji

    Mkuu wa Majeshi Afrika Kusini amjibu Rais Kagame

    Rafiki kuna jamaa hapo juu kakwambia hiyo video ya mwanzo inayo onesha A10 warthhog aircraft inashambulia wanajeshi ni ya zamani kuliko tukio lenyewe na ni from game " digital combati simulation"
  6. Jeitakuajejaji

    Mkuu wa Majeshi Afrika Kusini amjibu Rais Kagame

    Mbona hii ni A10 wathdog attack plane, ya USA sidhani kama SA wana aina hii ya mult role attack aircraft.. hii itakua sio DRC mkuu check with your source
  7. Jeitakuajejaji

    Toyota Hilux (Ngoma ya kazi) inakodishwa

    Aro… Asante Kwa kumpa uzoefu huyu ndugu
  8. Jeitakuajejaji

    Toyota Hilux (Ngoma ya kazi) inakodishwa

    Mkuu upo serious au unafanya utani.. Nimefanya matengenezo tu 7.9M. Kuwa serous basi Mkuu na vitu vya watu
  9. Jeitakuajejaji

    Toyota Hilux (Ngoma ya kazi) inakodishwa

    Wewe ndio uje na offer Mkuu nikiona inafaa ntachukua me siwezi sema Maana issue yangu ni kukodisha . Kwahiyo nishawishi niuze Kwa donge nono
  10. Jeitakuajejaji

    Toyota Hilux (Ngoma ya kazi) inakodishwa

    Akifika bei nampa
  11. Jeitakuajejaji

    Toyota Hilux (Ngoma ya kazi) inakodishwa

    Kwahiyo mkuu hapa unapoandika ndio sehemu yake au wenge
  12. Jeitakuajejaji

    Toyota Hilux (Ngoma ya kazi) inakodishwa

    Kwa wale wanaohitaji Gari ya kazi kazi Mzigo huu hapa chini Bei Maelewano piga namba 0745304903
Back
Top Bottom