Nimeliongea hili na kiongozi mmoja wa UKAWA na alionyesha kutolitilia maanani. Wapendwa kwenye serikali za mtaa tunahitaji huduma kwa wananchi na sio tena kupeleka itikadi zetu mitaani.
Huduma kwa wananchi hutolewa kwa mujibu wa Sheria na taratibu, ushauri wangu Watanzania tuanze kuelimishana...
Huyu jamaa alikuwa akinivutia utendaji wake ila kuna wakati alitamka kwamba upinzani unaota ndoto kuishinda CCM eti kwa sababu Wakuu wa Mikoa, Wilaya, Makatibu wakuu wa Wizara na Wakurugenzi wa Wilaya wote ni CCM. Hapa nilimbaini kuidharau demokrasia na uhuru wa wananchi. Jamaa yupo kichama...
Pia nataka kusema hivi: Leo hii pita mitaani kuna dini fulani wanaandaa kanda, CD's na vitabu kuwakashifu watu wa dini nyingine.Ndugu zangu nataka niwaambie:Wanandamu hatujui tulikotoka wala tunakokwenda YOTE TUNAYOYAAMINI TUNAYAAMINI KWA IMANI TUU: Sasa KWANINI UONE DINI YAKO NI BORA KULIKO...
Mfumo wa Sheria uko hivi: Kinachoshindikana kwa chief Kadhi hutakiwa kwenda Mahakama Kuu(High Court) sasa kama bado mashauri yanakwenda mahakama kuu, kwanini basi tuwe na Kadhi's court?. Inawezekana hili linatokana na mfumo huu wa sheria tulionao (Common Laws) ambao kiasili ulianzia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.