Recent content by Jeffer

  1. Jeffer

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hapo unaweka jina lako!
  2. Jeffer

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Njia rahis tumia ile web browser ya simu achana na opera au chrome ukifika nenda direct www.meridianbet.com coz hata mm inazingua ila kwenye ile browser inakubali fresh tu.
  3. Jeffer

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Tatizo n kwamba ukiweka pesa meridian huwa inachukua mda mref had kuingia kwenye account. Ila kama wataka kuweka kwa ajil ya gem za weekend c mbaya waweza weka.
  4. Jeffer

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Yeah mzigo unatoa kama kawaida
  5. Jeffer

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Daaah arsenal katuliza leo
  6. Jeffer

    Dar es Salaam Institute of Technology(DIT) - Special Thread

    Usajili huwa unafanyika kat ya mwez wa tano hadi sita mwishoni. So try next year kwa sasa ushachelewa
  7. Jeffer

    Msaada laptop yangu inanisumbua

    Inategemea mtu atakaekuwa anatumia!! Na ninachotaka n kutatua tatizo ndo maana nikaomba msaada!
  8. Jeffer

    Msaada laptop yangu inanisumbua

    Nina laptop yangu aina ya samsung, tatizo hii laptop ukiwa unatumia bila kuconnect kwenye umeme halafu ikakata chaj ukija kuiwasha haiwaki kabisa, inaaanza kama inawaka then inablink tu. Hapo hadi uiformat ndo itakubal hiv tatizo litakuwa n nn wadau naomba msaada kwa hilo!
Back
Top Bottom