Recent content by Jeffah Kanoni

  1. Jeffah Kanoni

    Nafikiria kuzaa mtoto wa nje, mke wangu anaharibu watoto kwa kigezo cha "upendo"

    kuzaa nje haisaidii chochote,pengine ni tamaa za mwili wako zinakusukuma kwenye hili, mtoto hubadilika kulingana na wakati wa makuzi na ukuaji wake,vumilia hiki ni kipindi kidogo cha mpito ingawa yakupasa uoneshe misimamo yako CHANYA ww kama baba wa familia kwa mkeo na kwa watoto, Nadhani...
  2. Jeffah Kanoni

    Kuna kiwanja kinauzwa,kipo MLANDIZI-KIBAHA PWANI

    Kipo maeneo ya kwamsagasa Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Jeffah Kanoni

    Kuna kiwanja kinauzwa,kipo MLANDIZI-KIBAHA PWANI

    Habari ndugu zangu.. Kuna kiwanja kinauzwa,kipo MLANDIZI-KIBAHA PWANI Kiwanja kina Miguu 30 kwa 25. Kipo mjini kabisa..umeme na maji yapo karibu sana. Kama unaswali zaidi kuhusu Bei ya kiwanja.unaweza nicheki DM. AU 0654206078. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Jeffah Kanoni

    Nahitaji laptop pamoja na desk top

    Mimi nayo RAM 4GB Storage 500GB Aina ASUS Ila inatatizo ilipata shoti haiwaki garama ya matengenezi ni 30000 je itakufaaa?? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Jeffah Kanoni

    Figo inahitajika

    Aseee mimi nipo tayar lakin kwa milioni 250
  6. Jeffah Kanoni

    Wanaume nijibuni..

    sikia hakuna uchawi kweny mapenzi!!! inatrmegemeana inawezekana akakupenda sana lakin kuna utamu haupati kwako.ndo anatafute huo utamu kwengine,lakin anakupendaaa
  7. Jeffah Kanoni

    Zijue faida mbalimbali za kula papai kiafya

    hapohapo nina swali mkuu!!! je mtu ambaye tayari anakiharusi,papai linaweza kumsaidia kupona kiharusi??
Back
Top Bottom