Sioni haja ya Magufuli kuelekeza nguvu yake kufuatilia upumbavu huu, tuna mambo mengi ya kufanya kulipeleka taifa mbele kimaendeleo.
Tukiendelea kufuata upuuzi huu tutabaki kumlaumu Magufuli kwanini haendi kwa mataifa mengine kuomba misaada kana kwamba hata Donald Trump huja Africa kuomba...
Ni budi majipu haya yakatumbuliwa hata kabla ya kukomaa....
Tunaposubiri yakomae mda unazidi kwenda matokeo yake tunachelewa kufikia targets kwa wakati.
Sina hakika kama mnaofikiria habari ya serikali 2 au 3 mnafikiri kwa kina. Tujaribu kujifunza kwa wenzetu walio endelea, tusiwe mabingwa wa kuomba misaada na kukopa. Tujaribu kutumia akili zetu kufikiri mambo kwa mapana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.