Apple macbook buree!!

Apple macbook buree!!

Napenda kuwatangazia wale wote ambao wamekuwa wakini PM nakuulizia mzigo kama bado upo au umeshatoka, jibu ni kwamba mzigo bado upo! Ingawa nilipanga utoke Leo ila nikapata safari ya kihuduma maana Mimi ni mwimbaji wa kwaya; ila upo uwezekano wa mzigo kutoka Leo j/pili hata kwa kuchelewa au kesho j/tatu kutokana huitaji wa mteja.

Asanteni
 
Hauna brands nyingine za simu Mkuu?
Ukiwa unauza simu kwa njia ya mnada humu JF, itakuwa poa sana.
 
Hauna brands nyingine za simu Mkuu?
Ukiwa unauza simu kwa njia ya mnada humu JF, itakuwa poa sana.
Nakuwaga nazo mkuu, ila hii idea ya mnada ndio likuwa sina ila kwakuwa nimeshaipata hii idea na watu wengi mmeipokea vzuri basi itakuwa endelevu mkuu; Kwaiyo tuwe tunawasiliana tu.
 
Mkuu vp mzigo bado upo au umeshatoka? Maana nautaka sana!
 
Mkuu vp mzigo bado upo au umeshatoka? Maana nautaka sana!
mkuu mzigo upo ingawa una ahadi kibao wengine wapo mikoa wengine makazini ila kama uko serious njoo pm tumalize biashara maana huu ni mnada ingawa umechukuwa muda kutokana na wateja wengi mali kauli.
 
Hakuna biashara hapa
mkuu biashara ipo ila siunajua biashara zetu za kibongo? ahadi nyingi, maneno mengi ingawa wapo walio serious na hata walikuwa tayari kulipia hata nusu ili mradi kuzuia huu mnada ila kutokana na vigezo na masharti ya mnada sikuweza kuwakubalia ila mzigo bado upo.
 
mi naanza na 400k wakuu ila unaruhusiwa kupanda dau kama mwenzako atakuzidi, kwaiyo changamkieni fursa hiyo wakuu maana nataka hadi kesho mzigo uweumeshatoka maana watu wengi wameweka ahadi mwisho wa mwezi na tarehe ndio hii imeshafika
 
nipo na muvika hapa nikisubiri mpande dau tumalize biashara.


47766873fd082181f27ee03efc4f3e1c.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom