Wakati wasomi na wadau mbalimbali wakipigia kelele uozo na ubora wa elimu katika ngazi ya sekondari.. hali imekua mbaya pia katika baadhi ya vyuo vikubwa hapa nchini HASA chuo cha MTAKATIFU AGOSTINO MWANZA. wanafunzi wamekuwa wakisubiriana kushea vitabu kama wakina mama kule kijijini wanavyo...
ULICHO kisema ni sawa ila kwasasa xo mda wake! Taifa linnakabiliwa na mambo mengi yanayo hitaj ufumbuzi na umakini kupita kiasi! kwahiyo tuache kujadili fulan kafanya hivi mara yule kafanya hiki.Tueke mkazo katika mambo ambayo ni PUBLIK INTEREST. MUACHENI maisha yake binfsi kwa sasa sio mtaji...
Hilo tumeliskia! sasa turudi katika kile alicho jikita HAWA GASIA katika mchango wa hotuba hiyo..,swali: KWA NINI VURUGU HIZO HAZIFANYIKI KILIMANJARO? kumbuka huko ambako chadema wanafanya vurugu pia kuna wananchi
jifunze mambo kwanza ili ueleweke vizuri. Sasa unmlaumu nani DR. SLAA au CDM? nani masanii na nani anafanyiwa usanii? Je unafikiri kuja kwa slaa kunge badilisha nn? uwakilishi ulio fanywa na WABUNGE unatosha:kev:
pinda anapindua pindo lililo pindwa na CDM, kauli yake hailengi kuitia nguvu serikali bali inadhamira ya kufunga CDM mabakuli yao wana wana CDM huko mataani. hivyo kauli hiyo haiwalengi watoa amri wa CDM bali inawalenga watekeleza amri za CDM.
Naheshimu mawazo yako mwanakijiji. Lakini napata wasiwasi kama ujumbe huu utawafikia walengwa ambao in viongozi wa CDM bila shaka.Maana wao wako bize kumtafuta mchawi wa kampeni zao za M4C ili kuiongoza kaya hii ya wadanganyika. Ushauri kwako mwanakijiji andika barua rasmi uwapelekee makao makuu...
ndugu yangu natumai umeandika hayo ukiwa na yakini na uyasemayo...kama ndivyo basi hebu tuthibitishie kuwa CDM ndio wana wataabisha wana Arusha. Nategemea uniridhishe na ripoti ya yoyote ya chombo cha ulinzi na usalama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.