mmh inachanganya! sikiliza moyo wako,,,, pia jiulize why aliamua kumpa mzigo jamaa? labda tatizo lipo kwako? if u still love her and you think you can work things out then forgive her
I feel you ...yani gals sijui tupoje huongezi chochote ila upoo tuu and hujui jinsi ya kumuacha! natamani kukushauri ila sijui coz ive been there and i'm still there!!
Let me know ukipata jibu
pole sana!! aisee wewe hukuwa serious kabisaa ila nimekutana na worse scenarios yako can be solved! jiandae vema na kwenda kufanya hizo sup guess ni mwezi wa 9, kama unajua umekosea wapi then unao uwezo wa kurekebisha na kufanya vitu vinavyoeleweka. the good thing umejitambua kilichobaki ni...
usikate tamaa, Mungu anaweza kukutendea kitu and you will be surprised. Nina dada yangu mmoja alikuwa na scenario kama yako, and kilichotokea he met a guy and after a month the dude akamwambia anataka kumuoa and ghafla bin vuu harusi hiyo! it took kama 3 months kujuana hadi wakaja kuoana! so see...
pole sana, ila jaribu kuangalia ni jinsi gani umempenda, umempenda kisa alikwambia ana bikra au la? jua kwanza moyo wako na uwe tayari kupokea lolote "mentally and physically". Pia swali la kujiuliza ni can u live without her? jaribu tuu kuchanganua faida na hasara za kuwa nae na kutokuwa nae!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.