Habari wadau,
Kwetu tulizaliwa watatu, sisi wanaume wawili na mdogo wetu wa kike, mimi na kaka yangu ni mapacha, pacha mwenzangu alifariki hivyo nimebaki mimi na mdogo wangu wa kike. Mwaka 2010, pacha mwenzangu alipata ajali mbaya ya Gari na kufa papo hapo, akaacha mke na watoto watatu, pamoja...
Neno hilo wanalitumia zaidi pale ambapo hujatamka kuwa unamhitaji ila umeonesha kila dalili kwamba unaelekea huko,
Wajanja huwa tuna counter attack hiyo technic, wao wanaitumia kwa maksudi kuku prevent usimtongoze, na wajinga wanaingia mkenge kweli, ila kwangu mm nikiitwa kaka ndo najua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.