Recent content by jean paul marie

  1. jean paul marie

    Shemeji anatapanya mali za marehemu kaka na wanaume wengine, nifanyeje?

    Habari wadau, Kwetu tulizaliwa watatu, sisi wanaume wawili na mdogo wetu wa kike, mimi na kaka yangu ni mapacha, pacha mwenzangu alifariki hivyo nimebaki mimi na mdogo wangu wa kike. Mwaka 2010, pacha mwenzangu alipata ajali mbaya ya Gari na kufa papo hapo, akaacha mke na watoto watatu, pamoja...
  2. jean paul marie

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    Habari ya mwaka 2009 march tarehe 2 unaileta Leo 2015 au hukuangalia tarehe?
  3. jean paul marie

    Nimemtelekeza supermarket na bili ya laki nne

    Duu huyo alitaka kukumaliza
  4. jean paul marie

    Narefusha nyeti

    Inakua kama ya punda?
  5. jean paul marie

    Unapotongoza mwanamke kubali matokeo ya kukubaliwa au kukataliwa

    Hivi mtu unatongoza mwanamke usiemfaham hata sura yake? Anyway nilijisahau kuwa jf kuna teenagers pia
  6. jean paul marie

    Tabia ya kumtongoza mwanamke halafu anakuita kaka, rafiki na mengineyo

    Neno hilo wanalitumia zaidi pale ambapo hujatamka kuwa unamhitaji ila umeonesha kila dalili kwamba unaelekea huko, Wajanja huwa tuna counter attack hiyo technic, wao wanaitumia kwa maksudi kuku prevent usimtongoze, na wajinga wanaingia mkenge kweli, ila kwangu mm nikiitwa kaka ndo najua...
  7. jean paul marie

    Alipokwambia ana mpenzi wake, ulifanya mikakati gani mpaka ukampata?

    Inabidi wawe wazungu, kama ni no ni no kama ni yes ni yes
  8. jean paul marie

    Huyu msichana nataka tu hela zake yeye simpendi

    Wewe utakua mcongo man mwenzangu
Back
Top Bottom