Recent content by jbrown

  1. J

    mwanaume katoka nje ya ndoa halafu adai anampenda sana mke wake!

    pole sana dadaa.. wanaume kama hao wapo lakini kama kakiri kweli bado anakupenda bac hauna budi kumsamehe kwasababu malez ya watoto bila baba na mama(wazazi) sio mazuri.. unaweza ukampa mtoto mdogo matatizo akikua kwa sababu lazima atamuulizia baba. kwa hyo nakuomba rudisha moyo nyuma na...
  2. J

    mzazi na mwanafunzi(mwanae)

    jamani ni kweli kwamba kufaulu kwa mwanafunzi kunamuongezea mzaz au mlez matatizo???? kwasababu kuna wazazi wengine hufurahia kabisa kufeli kwa mwanae ili kukwepa mambo yaada/karo ya shule kwa kusema anaongeza umaskini...na kama wapo ungependekeza saerikali imchukulie hatua ani??
  3. J

    Siku ambayo sitaisahau maishani

    happy birthday RAINER may god bless u cku zote za maisha yako......pole sana mama na pia hongera
  4. J

    Mlokole na guest.

    watu wengine ni ufupi tu.. bt mambo yaoo.sio ajabu sio mtoto hyo
  5. J

    Ha! Siku ya wajinga?

    kweli hyo sio ckukuu ya wajinga.. hyo ni ya wajanjaaaa
  6. J

    mchungaji na mlevi

    mlevi na mchungaji walikutana ndani ya daladala, sasa mchungaji hakupendezwa na kitendo cha yula mlev kulewa ndani ya daladala akaamua kumuuliza swali na mazungumzo yao yalikua hivi:mchungaji: hivi wewe unamjua mungu kweli? mlevi: hapana cwez kumjua kwasababu mm sio mwenyeji hapa ni vyema...
Back
Top Bottom