Ndugu zangu wana jamvi naomba mnisaidie mawazo ya kisheria na kikanuni. Kuna watumishi idara ya elimu msingi wamehamishwa tangu mwaka jana mwezi wa 5 lakini hawakulipwa fedha ya uhamisho.
Walidanganywa wakaripot vituo vya kazi kisha kupewa hela kidogo tu kama kiasi cha tsh 250,000 kwa maelezo...
Ni imani yangu kuwa Mungu alie kuwezesha kupata PHD ndie alie wawezesha phd wengine hivyo kwa mtazamo wangu watakuwa na wakati mzuri wa kuiga kutumia elimu yao kutoa mawazo yakuisuka jamii mbele jamii inayoelekea kupotea kimtazamo, kifikira na kiutendaji.
Mungu akubariki askofu msema ukweli na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.