Wananzengo mambo ya rushwa TRA mi naona yamekua kero sana, nmeambiwa kuna namba ya kutoa taarifa kuhusu RUSHWA katika ofisi za TRA ambayo ni 0689-122 515 na WhatsApp yao ni hii 0744-233 333 kwanini tusichomoe betri kwa Maofisa wenye tamaa wanaotaka kutukamua sisi walipakodi wakati wao wana...
We utakua mkwepa kodi unatoa lawama kwa TRA kwa lengo la kuwachongea huna lolote, mbona wajasiriamali wanapewa elimu, taasisi za serikali na binafsi ebu kama una macho jaribu kugoogle basi sio unakurupuka kisa umepigwa kodi kulipa hutaki. We ulitaka elimu ipi au wewe umeifanyia nini cha maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.