Ina maana bila yeye kwenda uko haya yangefaamika?? Inamaana serikal ya eneo husika ilikuwa wapi jutambua ili mapema? Wakuu wa polisi, Uhamiaji, DC, RC na watendaji wengine wote wanaohusika na Ulinzi na Usalama walikuwa hawayajui aya????? Watumbuliwe kwa kweli.....
Sijakusoma bado unachomaanisha mkuu, ni mafanikio ya mwenyekiti km mwenyekiti (manji) au mafanikio ya Yanga...!!!?? Kajipange then uludi tena ukiwa umejitambua vzuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.