Hakuna gonjwa baya kama bawasiri. Ni ugonjwa unaokera sana.
Yale manyama yanavyochungulia kwenye shimo la ikweta yanaleta ukakasi mkubwa sana licha ya madhara mengine mengi.
Ukichuchumaa linyama linafumuka. Ukienda kukata gogo linyama linafumuka. Unakuwa kama mama aliyejifungua. Shimo la...
Katika hali isiyotarajiwa, Rais wa Uganda, Yoweri Museven, amekwepa kusaini muswada wa sheria dhidi ya mashoga.
Muswada huo uliopitishwa kwa mihemko na Bunge la Uganda mnamo march mwaka huu, uligubikwa na kiwango kikubwa cha adhabu kali dhidi ya mashoga ikiwemo kifo.
Baada ya muswada kupelekwa...
We jamaa una madini makali.
Kwanini haukutaka kuwa JAJI ili uliokoe hili taifa dhidi ya VILAZA waliosoma sheria bila kuzijua sheria?
SAMIA akuteue mara moja. Haiwezekani TUMEFUGA MAVILAZA yanapima watu mikundu halafu tumeacha tunu zenye madini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.