Recent content by Jasiri 1

  1. J

    Rais Magufuli atoa tafsiri mpya ya neno demokrasia!

    Democracy ni nini eti! [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
  2. J

    Licha ya "tishio la kumzuia mitandaoni" Tundu Lissu aibuka tena na "kijembe" kwa Serikali

    Haaa nitakuja mkuu naamini nitaendelea kujifunza kitu
  3. J

    Flat Screen: Muongozo kabla hujaenda kununua TV

    Aisee hujashtuka tuu kuna kampuni inaitwa hombase hao jamaa nawakubali vibaya mno Tv zao ziko poaa yani ikizingua unawarudishia wanakupa nyingine mpyaaa yani cjaamini ina vioo vioo viwili ikipasuka cha juu inalinda cha ndani yani karibu kuiulizia kwenye maduka tofauti utajipa jibu mwenyewe
  4. J

    Lowasa ana haki ya kuzunguka Tanzania akifanya mikutano

    Hata zito nae kwani alishindwa mkuu mbona alinyimwa japo alishinda na wengine wengi jamani cjui mtajitetea kwa lipi nyie walumumba
  5. J

    Rais Magufuli: Mimi sijaribiwi, wasije kunijaribu. Atakayeleta vurugu atashughulikiwa bila huruma!

    Mkuu unapomkataza mtu kukujibu swali lako jua kabisa hajajipanga kukuuliza alikurupuka wala usiwashangae hawa mafisiem hawana njia nyingine yakujitetea
  6. J

    Rais Magufuli: Mimi sijaribiwi, wasije kunijaribu. Atakayeleta vurugu atashughulikiwa bila huruma!

    Unajua unaweza kulipwa kutetea kisichofaa kutetea nyie walumumba mna kazi kubwa
  7. J

    Rais Magufuli: Mimi sijaribiwi, wasije kunijaribu. Atakayeleta vurugu atashughulikiwa bila huruma!

    Alafu mtu anatuambia tumwombee aendelee kuyafanya haya au?
  8. J

    BAVICHA haturudi nyuma- Sosopi

    Nashukuru mbowe kuzuiya bavicha kutokwenda dodoma naamini kimya kingi kina mshindo mkubwa tuwaache awa uvccm wapige kelele kwa mda mfupi watanyamaza milele
Back
Top Bottom