Aisee hujashtuka tuu kuna kampuni inaitwa hombase hao jamaa nawakubali vibaya mno Tv zao ziko poaa yani ikizingua unawarudishia wanakupa nyingine mpyaaa yani cjaamini ina vioo vioo viwili ikipasuka cha juu inalinda cha ndani yani karibu kuiulizia kwenye maduka tofauti utajipa jibu mwenyewe
Mkuu unapomkataza mtu kukujibu swali lako jua kabisa hajajipanga kukuuliza alikurupuka wala usiwashangae hawa mafisiem hawana njia nyingine yakujitetea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.