Recent content by Jaramogi2013

  1. J

    Money laundering

    Mi nadhani siyo lazima upeleke zote kwa mkupuo! Peleka kidogo dogo, but lazima ubuni kijimradi ya kuzugia, ili hata kama wakikushtukia, basi ujue jinsi ya kujhdefend. Mh...! Tehe tehe tehe, najishangaa navyotoa maelezo kana kwamba tunachojadil ni real Money
  2. J

    Msaada wa mawazo kuhusu kujiajiri

    Habar wan Jf. Nimefurahi kufika kwenye jukwaa hili. Nachohitaji ni msaada wa mawazo. Mi nimemaliza Bachelor mwaka jana, but mpaka leo ajira kwangu ni ndoto kuipata. Nimeamua kuwazia biashara, lakini chakushangaza, mtaji sina. Nashndwa kwenda kwenye taasisi zinazotoa mikopo coz vielelezo...
Back
Top Bottom