Mi nadhani siyo lazima upeleke zote kwa mkupuo! Peleka kidogo dogo, but lazima ubuni kijimradi ya kuzugia, ili hata kama wakikushtukia, basi ujue jinsi ya kujhdefend.
Mh...! Tehe tehe tehe, najishangaa navyotoa maelezo kana kwamba tunachojadil ni real Money
Habar wan Jf.
Nimefurahi kufika kwenye jukwaa hili. Nachohitaji ni msaada wa mawazo. Mi nimemaliza Bachelor mwaka jana, but mpaka leo ajira kwangu ni ndoto kuipata. Nimeamua kuwazia biashara, lakini chakushangaza, mtaji sina.
Nashndwa kwenda kwenye taasisi zinazotoa mikopo coz vielelezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.