Recent content by jaqfantasy212

  1. jaqfantasy212

    Mjamzito kukosa hamu ya kusex na kumchukia baba kijacho

    Ilibak kidogo ndoa yangu kuvunjika kwasababu ya kumchukia mume wangu kipind cha ujauzito
  2. jaqfantasy212

    Mahakama Kuu Kanda ya Dar: Marufuku Mikusanyiko ndani ya mita 200 baada ya kupiga kura

    Rais alishaweka kaul yake ulitegemea watampinga...
  3. jaqfantasy212

    Young Bilionea wa Madini wa Arusha Afariki Dunia

    Mkuu kuna kitu nyuma ya pazia mnaficha labda mtuambie alikuwa anavuka kuja kunduchi ndio maut yalipomkutia pale maana pale kwenye kicross lazima uwe timamu kwelkwel ndio upite panahitaj umakin wa hal ya juu sana kuangalia magar esp malor yanayotoka tegeta ss kama alikuwa pemben pale anasubir...
  4. jaqfantasy212

    Dina Marios afunguka bifu lake na Zamaradi Mketema

    Ss ww ni mgen kabisaaaaaa katika fan hii ya umbea ukitaka kuuliza maswal ya kimbea yana uulizwaj wake sio styl ya maswal ya polis ndio uulize kwenye umbea hutaambiwa ukwel
  5. jaqfantasy212

    Dina Marios afunguka bifu lake na Zamaradi Mketema

    Ww bwana ww mm mtu mzma mwenzako kwahiyo unataka nikwambie fulan ni jamaa yangu wa karibu kwahiyo huwa ananiambiaga yanayomsibu au fulan ni kamchepuko kangu kwahiyo data zote huwa ananipa aah!Chief eeh hapa hatusutan ila ninachokiandika nakimaanisha
  6. jaqfantasy212

    Dina Marios afunguka bifu lake na Zamaradi Mketema

    Hahhahaha! Ww ni aina ya watu wanaopenda umbea sana ila huwa wanashindwa kuuliza kuogopa kuonekana namna gan vip unaishia kujificha kwenye maswal... na huupat ukwel ng'oooooo
  7. jaqfantasy212

    Dina Marios afunguka bifu lake na Zamaradi Mketema

    Hata kuuliza swal ni aina nyingine ya kujibu swali... Ukisoma vizur maneno yangu namaanisha na najua ninachokisema
  8. jaqfantasy212

    Dina Marios afunguka bifu lake na Zamaradi Mketema

    Usiwe kama umekurupushwa huko ulipokuwa unataka niyamwage hapa niwe kama mange
  9. jaqfantasy212

    Dina Marios afunguka bifu lake na Zamaradi Mketema

    Kwenye swala la kupigwa tu hawajambo nguo za kushona china watu wanauziwa mamilion si bora ushonewe na madizaina wa bongo
  10. jaqfantasy212

    Dina Marios afunguka bifu lake na Zamaradi Mketema

    Cloudz kitu gani swala mezan ni uwezo dina ana uwezo na anaajirika kama vip awapige chin hata wik hamaliz atakuwa ana ajira mpya.. Aachane na wanaoleta mapenz kazin..
  11. jaqfantasy212

    Dina Marios afunguka bifu lake na Zamaradi Mketema

    Wafanyakaz wa cloudz wengi wanamaumivu moyoni ila ukiwasikiliza wakiwa kwenye vipind unaweza dhania ndio wanafanyakaz wanao-enjoy kuliko wafanyakaz wowote wa radio tz... Boss wa efm hajamuona dina maana ncha kal yopo efm..
  12. jaqfantasy212

    CCM njiapanda Urais 2015: Kumpitisha Lowassa au chama kumeguka

    Hahahha! Angekuwa karibu yako huyo ungemkata kofi
  13. jaqfantasy212

    Kajala: Nampenda sana Wema, ila bado ana chuki na mimi

    Wema na yeye ni profeshinali wa kutembea na waume za watu huyo ck si alikuwa mume wa mtu hadi mkewe akamfanyia fujo ikatangazwa mpk kwenye hekaheka akwedreeee zake au ndio ile mtenda akitendewa....
  14. jaqfantasy212

    Kajala: Nampenda sana Wema, ila bado ana chuki na mimi

    Katika pitapita zangu za kuwaangalia watu maarufu Tanzania nathubutu kusema sijawahi kuona msichana ambaye ni mjinga ila anajifanya mjuaji kama wema na hii inaletwa na kujiona yy ni Mungu mtu kwsbb anapendwa sana na mashabiki basi anajiona ana kila sababu ya kusujudiwa...ukiongeza na sifa za...
Back
Top Bottom