mi ni mwalimu niliyekosa ajira kwa miaka 6, si nikajaribu kufungua day care januari hii, nikakutana na fungia fungia day care, pia serikali ikatangaza kufungua day care zake. Nikawa najiuliza serikal si wanasema tujiajir? Sasa mi mwalimu nijiari vipi.
we
wewe ndo muongo, nimemaliza UDSM 2015 namba yangu 01366 surname yangu inaanza na M , rafiki yangu surname yake A inaanza reg no yake ni 00730 sasa mwenye surname inayoanza na na Z atakuwa na reg no ngapi? Mahaba yakizid hupunguza uwezo wa kufiri, hicho ni chuo kimoja tu je hapa nchini kuna...
TANESCO suala la umeme maeneo ya zingiziwa CHANIKA nyuma ya hospital ya zingiziwa vipi ? Mmeweka vile vialama vyenu vya vijiti hadi vimepotea, mmeshusha nguzo NGOBEDI je sisi wa ZINGIZIWA tusubiri hadi lini?
kwel dr mtoto alikuwa mkubwa kisha mzaz alikaa na uchungu kwa siku 3 kwa maelezo yake, weng wanafurah kujifungua watoto weny uzito mkubwa bila kujua madhara yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.