Recent content by Japhet mbali

  1. J

    Zitto Kabwe na ujumbe wake watua Ulaya, shughuli imeanza rasmi

    Mh mbona jengo lenyewe kama wako bongo ni ulaya hapo?
  2. J

    Barabara za mitaani Jimbo la Nyamagana zimegeuka kuwa mito

    Mfano barabara ya majengo mapya nyegezi ni shida kubwa .
  3. J

    CHADEMA 2015 mlikosea kuteua mgombea Urais naona mnajiandaa kurudia kosa?

    Jana magazeti yalisema kuna mwanamke anaandaliwa kugombea Urais kupitia Chadema, ni nani huyo?
  4. J

    CCM fanyeni kila muwezalo Mh. Zitto Kabwe asirudi Bungeni

    Japo mimi sio mpenzi wa chama chochote cha siasa ila nakiomba chama cha CCM kilichopo madarakani kufanya kampeni ya haki na yenye nguvu kuhakikisha Ndg. Zitto Kabwe asifanikiwe kupata ushindi katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu katika nafasi ya ubunge kwani amekuwa akipinga hata mambo ya msingi...
  5. J

    Ndege inatunguliwaje wakati huwa juu futi 33,000 kwa speed ya 900km/hr ?

    Mwarabu muda mwingine akili zao si za kawaida mnapiga ndege na kuua mnasema ni bahati mbaya USA some time nampongeza
Back
Top Bottom