Recent content by Janvier

  1. Janvier

    JamiiForums Tanzania Kigali: Watu wajazana kumuona Diamond Platnumz

    Nyamirambo - Kigali, Watu kutoka huku na kule walifurika siku ya Jumamosi Januari 20, 208 kumuona mubashara msanii wa kitanzania Diamond Platnumz. Msanii huyo alikwenda sehemu inaitwa Tapis Rouge iliyoko tarafani Nyamirambo, wilayani Nyarugenge mjini Kigali, ili kuwasalimu mashabiki wake ambao...
  2. Janvier

    JamiiForums Tanzania Urusi yajiandaa na Vita ya Tatu ya Dunia (WW3)

    Sidhani kama kutakuwa na vita hiyo. Atakayeanzisha atakuwa amekurupuka sana kwani hata akishinda hata yeye atakuwa amepoteza watu na mali, na hawezi kuwa na imani kwamba atashinda. Tukumbuke Urusi, Marekani na mataifa mengine mengi yanamiliki silaha za kinyuklia. Hakuna anayeweza kudiriki...
Back
Top Bottom