Hakuna kosa hapo si kwa sheria za nchi wala kwa mungu maana hata baba yake yesu alimwoa bikira mariam akiwa na mimba ya yesu, isipokuwa kama mimba ni ya mume mwingine basi hakutakuwa na ndoa halali chini ya kifungu namba 39(iv) cha sheria ya ndoa ya mwaka 1971
Teh! Teh ! nimependa hii ya "Afadhali kuishi kwenye paa la nyumba kuliko kuishi na mwanamke mgomvi" by the way huwa tunaomba msamaha hata kwa kupiga magoti tatizo nyie mna "vidomodomo" tukiwaomba msamaha namna hiyo kesho hiyo habari utaikuta "Dar eS salaam stock of exchange (soko la hisa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.