Wakuu salaam 👋,
Kwa mdau aliyefanikiwa kutuma maombi, tunaomba share uzoefu wako wa hatua mbalimbali na changamoto ulizokutana nazo. Lengo ni kusaidia wengine ambao ndio wanaanza.
Binafsi naona mtandao unasumbua sana, nimekaa zaidi ya lisaa nasubiri ufunguke lakini bado.
Natanguliza shukrani 🙏
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.