Recent content by Jantisa

  1. J

    JamiiForums Tanzania KERO Mkurugenzi Korogwe DC tupia jicho shule ya msingi Makole iliyopo KIJIJI Cha MAKOLE kata ya Magamba Kwalukonge

    Habari wakuu mimi ni mdau wa elimu kutoka mkoa wa Tanga nimekuwa nikifuatilia maendeleo ya elimu katika shule ya msingi Makole iliyopo katika halmashauri ya WILAYA Korogwe DC katika kata ya Magamba KWALUKONGE Kijiji Cha Makole. Kwa kipindi kirefu shule hiyo imekuwa ikipoteza thamani yake ya...
  2. J

    JamiiForums Tanzania Changamoto Vyuo Vya Ufundi Stadi na Marekebisho kwa Vijana wenye Ulemavu: Ukosefu Walimu na Vifaa

    Habari Wana nzengo Mimi ni mdau wa maendeleo ya watu wenye ulemavu nimekuwa nikifuatilia vyuo vya watu wenye ulemavu vilivyokuwa chini ya ofisi ya waziri mkuu ambako kwa Sasa vimehamia katika wizara ya elimu sayansi na teknolojia vyuo hivi vipo Singida (sabasaba) Dar es salaam (yombo),Mwanza...
  3. J

    JamiiForums Tanzania Circular na waraka za utumishi wa umma kwanini zinafichwa?

    Habari Wana jamvi naomba kuuliza kwa wataalamu wa utumishi wa umma hususani Maafisa utumishi wa umma hivi Kuna haja gani ya kuficha waraka mbalimbali zinazowaongoza watumishi wa umma katika kudai haki zao kama vile uhamisho, kufanya recategorization, kudai malimbikizo ya mshahara na posho Ikiwa...
  4. J

    JamiiForums Tanzania KERO Uonevu kwenye usahili wa ajira za Afya Septemba 2024

    Pole sana kwenye kutafuta Kuna mengi ndugu
  5. J

    JamiiForums Tanzania Kwenye hili Sekretarieti Ya Utumishi ni Sahihi?

    Next time atapata
  6. J

    JamiiForums Tanzania Kimetulamba kwenye written interview

    Hongera mwenyezi mungu akuongoze
  7. J

    JamiiForums Tanzania Kwenye hili Sekretarieti Ya Utumishi ni Sahihi?

    Ishu hapo n aplitude test mkuu ..wanajua vyote unajua ..Kuna logical reasoning, number reasoning n.k pia ni njia ya mchujo hiyo mkuu coz watu ni wengi
  8. J

    JamiiForums Tanzania Kimetulamba kwenye written interview

    Poleni ndio mchujo huo mkuu ...au aplitude test next time upitie aplitude test upate experience
  9. J

    JamiiForums Tanzania Taasisi ya Ustawi wa Jamii tunawaomba mrekebishe mtandao wenu

    Taasisi ya ustawi wa jamii tunawaomba mrekebishe mtandao wenu kwani haifunguki na hata kufunguka ni kwa shida. Mnawasumbua wanafunzi wanaotaka kusoma katika chuo chenu muache kujiendesha kwa mifumo ya kizaman Dunia sasaiv ipo kwenye tehama Mnawakatisha tamaa wanajiuliza kama website rasmi ya...
  10. J

    JamiiForums Tanzania Nimemaliza PEP miezi 6 iliopita baada ya kudate na muathirika kwa uhakika

    Bingwa ikichora mingapi ni positive
  11. J

    JamiiForums Tanzania Usaili wa Afisa Maendeleo ya Jamii Msaidizi upoje?

    Kila lenye heri kwako
  12. J

    JamiiForums Tanzania Maswali ya usaili wa Tutorial Assistant, Gender and Development

    Jipange ukachukue Kazi mkuu
  13. J

    JamiiForums Tanzania Mbunge gani harudi 2025?

    Mbunge wa ubungo, mbunge wa kibamba
  14. J

    JamiiForums Tanzania Usaili wa Afisa Maendeleo ya Jamii Msaidizi upoje?

    Soma all about maendeleo ya jamii... Soma issue globalization vs maendeleo, poverty reduction, technology and development, environmental sustainability vs development kifupi soma notes na pia tafuta wenzio muwe na group muwe mnashare experience
  15. J

    JamiiForums Tanzania Maswali ya usaili wa Tutorial Assistant, Gender and Development

    Salama binafsi nishawahi kuhudhulia T.A interview kama nne za kada tofauti na yako ila maswali ni ya darasan kwenye aplitude. Mfano 1.What is the link between gender and development 2. Differentiate between 1.gender mainstreaming and gender stereotyping 2. Justify gender as socially...
Back
Top Bottom