Habari wakuu mimi ni mdau wa elimu kutoka mkoa wa Tanga nimekuwa nikifuatilia maendeleo ya elimu katika shule ya msingi Makole iliyopo katika halmashauri ya WILAYA Korogwe DC katika kata ya Magamba KWALUKONGE Kijiji Cha Makole.
Kwa kipindi kirefu shule hiyo imekuwa ikipoteza thamani yake ya...
Habari Wana nzengo
Mimi ni mdau wa maendeleo ya watu wenye ulemavu nimekuwa nikifuatilia vyuo vya watu wenye ulemavu vilivyokuwa chini ya ofisi ya waziri mkuu ambako kwa Sasa vimehamia katika wizara ya elimu sayansi na teknolojia vyuo hivi vipo Singida (sabasaba) Dar es salaam (yombo),Mwanza...
Habari Wana jamvi naomba kuuliza kwa wataalamu wa utumishi wa umma hususani Maafisa utumishi wa umma hivi Kuna haja gani ya kuficha waraka mbalimbali zinazowaongoza watumishi wa umma katika kudai haki zao kama vile uhamisho, kufanya recategorization, kudai malimbikizo ya mshahara na posho
Ikiwa...
Taasisi ya ustawi wa jamii tunawaomba mrekebishe mtandao wenu kwani haifunguki na hata kufunguka ni kwa shida.
Mnawasumbua wanafunzi wanaotaka kusoma katika chuo chenu muache kujiendesha kwa mifumo ya kizaman Dunia sasaiv ipo kwenye tehama
Mnawakatisha tamaa wanajiuliza kama website rasmi ya...
Soma all about maendeleo ya jamii...
Soma issue globalization vs maendeleo, poverty reduction, technology and development, environmental sustainability vs development kifupi soma notes na pia tafuta wenzio muwe na group muwe mnashare experience
Salama binafsi nishawahi kuhudhulia T.A interview kama nne za kada tofauti na yako ila maswali ni ya darasan kwenye aplitude.
Mfano
1.What is the link between gender and development
2. Differentiate between
1.gender mainstreaming and gender stereotyping
2. Justify gender as socially...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.