Recent content by Jantisa

  1. J

    Circular na waraka za utumishi wa umma kwanini zinafichwa?

    Habari Wana jamvi naomba kuuliza kwa wataalamu wa utumishi wa umma hususani Maafisa utumishi wa umma hivi Kuna haja gani ya kuficha waraka mbalimbali zinazowaongoza watumishi wa umma katika kudai haki zao kama vile uhamisho, kufanya recategorization, kudai malimbikizo ya mshahara na posho Ikiwa...
  2. J

    KERO Uonevu kwenye usahili wa ajira za Afya Septemba 2024

    Pole sana kwenye kutafuta Kuna mengi ndugu
  3. J

    Kimetulamba kwenye written interview

    Hongera mwenyezi mungu akuongoze
  4. J

    Kwenye hili Sekretarieti Ya Utumishi ni Sahihi?

    Ishu hapo n aplitude test mkuu ..wanajua vyote unajua ..Kuna logical reasoning, number reasoning n.k pia ni njia ya mchujo hiyo mkuu coz watu ni wengi
  5. J

    Kimetulamba kwenye written interview

    Poleni ndio mchujo huo mkuu ...au aplitude test next time upitie aplitude test upate experience
  6. J

    Taasisi ya Ustawi wa Jamii tunawaomba mrekebishe mtandao wenu

    Taasisi ya ustawi wa jamii tunawaomba mrekebishe mtandao wenu kwani haifunguki na hata kufunguka ni kwa shida. Mnawasumbua wanafunzi wanaotaka kusoma katika chuo chenu muache kujiendesha kwa mifumo ya kizaman Dunia sasaiv ipo kwenye tehama Mnawakatisha tamaa wanajiuliza kama website rasmi ya...
  7. J

    Mbunge gani harudi 2025?

    Mbunge wa ubungo, mbunge wa kibamba
  8. J

    Usaili wa Afisa Maendeleo ya Jamii Msaidizi upoje?

    Soma all about maendeleo ya jamii... Soma issue globalization vs maendeleo, poverty reduction, technology and development, environmental sustainability vs development kifupi soma notes na pia tafuta wenzio muwe na group muwe mnashare experience
  9. J

    Maswali ya usaili wa Tutorial Assistant, Gender and Development

    Salama binafsi nishawahi kuhudhulia T.A interview kama nne za kada tofauti na yako ila maswali ni ya darasan kwenye aplitude. Mfano 1.What is the link between gender and development 2. Differentiate between 1.gender mainstreaming and gender stereotyping 2. Justify gender as socially...
  10. J

    CO interview questions

    1.Put God First 2. Confedence 3.Patience Kwenye aplitude soma vitu vile muhimu vyote vya clinical medicine officer mfano kama Kuna skills needed to be C.O, dalili za magonjwa mbalimbali na current issue kwenye career yako mfano issue za mpox Subiri waje wengine
  11. J

    Ushauri wa ujenzi

    Ndio
Back
Top Bottom