Mie nilipatwa hali kama hiyo. Nikashauriwa kutafuta papai bichi changa, unamenya then unachemsha unakunywa maji yake kila siku. Matokeo yalikuwa mazuri. Karibu na wewe. Pole sana.
Namshukuru Mungu kwa yote. ikizingatia nilifiwa mtoto wangu wa miezi 8 mwezi wa 4 kwa ugonjwa wa maleria na homa kali. nasikitika ujauzito wa miezi miwili umetoka. sababu ni uvimbe kwenye kizazi. We Mungu najua una makusudi na maisha yangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.