Kwa kawaida Qur aan ina utaratibu wake wa kuweza kuielewa. Usipo fuata utaratibu aidha kwa makusudi (kupotosha) ama kwa bahati mbaya (kutoijua Qur aan) huwezi elewa kilicho kusudiwa katika kila aya.
Na pia jaribu kuangalia aya za nyuma ama mbele ya aya unayoisoma, kwa sababu Qur aan ina tabia...
Kusifia ama kukosoa ni jambo lisilo hepukika kwa nchi yoyote duniani, kila mtu ana mtizamo wake kwa namna serikali yake inavyo endesha nchi. Ila kutakuwa na tatizo la uelewa kwa kuona wengine ni wajinga kwa sababu mtu unatofautiana nao ki mtazamo.
Walio peleka mabango kule ugenini wamealikwa na...
Nakubaliana na maoni yako kiongozi, tatizo kuu hapa ni utendaji kazi wa polisi na serikali kwa ujumla.
Na kesi ya huyu dada serikali isibaki tu kwenye mazoea kwamba wanigeria tabia zao ni mbaya, bali ije na majibu ya kiuchunguzi wa haki.
Muandishi maoni yako yanajichanganya kama anavyo jichanganya Zainab na wanavyo jichanganya wenye Hotel.
Unapinga maoni ya kwamba suala la uhalifu lipo, kwa sababu bado uchunguzi hauja toa taarifa. Lakini kabla ya uchunguzi unatuaminisha kwamba Zainab ni tapeli? Hv Royal tour ndio kigezo muhimu...
Huu ni mkakati maalum wa kumuandama mbowe kwa lengo la kudhoofisha nguvu ya chadema. Baada ya ile tamthilia ya ugaidi kugonga mwamba sasa wamekuja na mkakati mwingine. Kama kweli Rais na mwenyekiti wa chama tawala ana nia nzuri yakushirikiana na vyama vingine kujenga nchi angeanzia kwa kukemea...
Kwa sifa za mlima wenyewe, kuna wengi wanaopenda kupanda huko kileleni, lakini wanashindwa kwa sababu mbali mbali. Na wako wanopanda kwa lengo la kufika kilele cha mlima kwa miguu. Nadhani hivyo viberenge ni mradi mzuri utakao ongeza pato la taifa kwenye utalii. Ila hoja kuu hapa nadhani ni...
"mbunge wa zamani wa Mikumi Mh Joseph Haule".
Hili la kuwa mbunge wa zamani tunaliacha kiporo adi siku ya hukumu.
Ila kuna kipengele hapa naona kama umempunguzia hadhi yake. Ni vyema ukaweka hadhi yake kwa ukamilifu.
Yaani Mh Joseph Haule mbunge wa watu na wanyama jimbo la mikumi.
Kiongozi nilidhani utasema kwamba mama atamtibu kwa pesa yake, ama pesa ya chama cha mapinduzi. Lakini kumbe atatibiwa kwa gharama ya serikali yetu sote? Hata hivyo miaka zaidi ya 60 chini ya chama kikongwe watu kutibiwa mmoja mmoja kwa kujulikana majina yao ni hasara kwa taifa, Kwa sababu wapo...
Hiyo ni mbinu ya kuongeza urefu wa kamba. na hapo bado siku atakayo rudi kamba zitakuwa ndefu zaidi. Maana utasikia Ufaransa wametoa mkopo wa milioni kadhaa, na Ubelgiji wametoa msaada wa madawati kuboresha elimu. Huku TRA wakiongeza dau la kufuli watakalo fungia vibanda vyetu.
Kiongozi sina lengo la kubishana na hoja yako.
Hoja yangu ya msingi hapa ni kwanini alikaa kimya kwa miaka 6? Kwa nini aliendelea na nafasi yake ndani ya chama hali ya kuwa anajuwa maalim seif, wazanzibar pamoja na yeye mwenyewe wamedhulumiwa?
Kunyamaza na kushiriki kwa muda wote huo ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.