Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,995
- 103,378
Hii nchi unajikuta wewe jeuri kama nani ,huyo mbowe anasema hawezi omba msamaha hivi nyie chadema mnaakili sawa sawa kweli ....!
Hii dunia Kuna mtu ambaye hawezi omba msamaha ,mnajikuta mnajeuri ,hivi chadema mnajivunia Nini mpaka mnaona hamuwezi kujishusha mbumbumbu nyie mnamuumiza mwenyekiti wenu kwa umasikin jeuri wenu ,chama lenyewe masikini Bado linamvimbia aliyeshika mpini ,nyie ni takataka tu ...
Mnajifanya hamuwezi kuomba msamaha kwani mbowe anakitu gani cha special ? Mpaka hawez kulamba viatu vya mama samia ,unahisi mama samia akinyenyua mapembe na huyo mbowe akanyanyua mapembe nan ataumia ,hivi hamjui hata kusoma alama za nyakati ,yaani unataka kuidindia raisi ,harafu utegemeee ushindi ,sawa sawa na mtoto amleteee jeuri baba yake ,harafu kula kulala anategemea kwa baba yake ....
Hili chama halina hata watu wastaarabu na werevu ....
Zito anajua analolifanya ,watu kama chadema maisha wapo ,ni masikini jeuri ,hawaambiliki kila kitu wanajikuta wanajua ...mtakufa na tai shingoni kunguni nyie ...
Hata ukipanick, ni hivi, hatuombi msamaha acha Mbowe afie jela ili CDM ife na ccm iendelee kuwa tajiri fullstop.