Recent content by janker

  1. janker

    JamiiForums Tanzania Serikali: Tukishindwa, wawekezaji watajenga mtambo wa kuchenjua makinikia

    duh kazi kweli kweli
  2. janker

    JamiiForums Tanzania Maendeleo ya kweli Tanzania yataletwa na Elimu na Ukweli. Tusidanganye, Tusidanganywe, Tusidanganyike!

    unajitahidi sana kuandika,,wasiwasi umejitokeza kwa namna nyingi tofauti mayala kwanza waliosimamia hizi sheria kwa maana ya chenge na werema wanatofautiana
  3. janker

    JamiiForums Tanzania Watu kama Mkuu wa Mkoa huyu ni hatari sana ukiwa unafanya nao kazi. Hawaoni hasara kukuharibia

    acheni majungu mambo ya msingi tunazidi kuyasahau comrade mkwepa Kodi,,salary slip,,nifah,,boban,,nyani ngabu u both guys nowadays look so dormant why?
  4. janker

    JamiiForums Tanzania Kubenea apigwa Stop na Mbowe kuandika kuhusu Ben Saanane

    mungu yupo
  5. janker

    JamiiForums Tanzania Le Mutuz kwanini umetudanganya?

    mambo yenu haya pelekeni Instagram huko hapa mnatupotezea muda tu.
  6. janker

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli awashangaa Kagera: UKIMWI nyie, tetemeko nyie, mna mto unaitwa Ngono na Kijiji cha Katerero

    mkuu una maanisha mini mstari was mwisho
  7. janker

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Tanzania Daima Hali Siyo Shwari, Mhariri Mkuu, Ndugu Neville Meena Atimuliwa Kazi

    narudia tens wandugu tushiriki kujadili mambo ya msingi yatakayotukwamua toka hapa tulipo,,tuachane na minor issues kama hizi
  8. janker

    JamiiForums Tanzania Freeman Mbowe na Viongozi CHADEMA jiteteeni juu ya hoja hizi za kupotea kwa Ben Saanane

    Dangote ameshusha malori 600 kwa hesabu za haraka haraka dereva na utingo itakuwa ni ajira ya watu 1200 jadilini wanapatikanaje hao ndiyo hoja ya msingi hiyo
  9. janker

    JamiiForums Tanzania Freeman Mbowe na Viongozi CHADEMA jiteteeni juu ya hoja hizi za kupotea kwa Ben Saanane

    Jamani jamani mnataka nirudie tena!?
  10. janker

    JamiiForums Tanzania Freeman Mbowe na Viongozi CHADEMA jiteteeni juu ya hoja hizi za kupotea kwa Ben Saanane

    Narudia tena tuzungumze issues ambazo ni maslahi kwa taifa ili tuweze songa mbele na maisha yetu yawe na tija,, mpaka sasa hatujui tulipo,, tunahoji upotevu wa mtu mmoja!? Shame on u,, tutulize akili jamani oh oh tutaachwa huu muda siyo wa porojo za siasa jamani,,,
  11. janker

    JamiiForums Tanzania DC Polepole 'alikoroga' soko la ndizi Mabibo,mgomo wanukia

    Hakuna mjadala kwenye hii hoja waliagizwa maafisa waandamizi wa Manispaa wanahousika na hayo masuala ya masoko wakarudisha taarifa kwa mkuu wao aliyewaagiza na kilichohamuliwa ndiyo haswa kilipaswa kufanyika
  12. janker

    JamiiForums Tanzania Sheikh Khalifa Khamisi anatumika na system fulani

    Narudia tena kuwaambia ndugu zangu tujikite kujadili hoja zenye tija na kutusaidia kutukwamua sisi watanzania wote tusipoteze muda wa kujadili mambo mepesi mepesi ya watu individual kama haya
Back
Top Bottom