unajitahidi sana kuandika,,wasiwasi umejitokeza kwa namna nyingi tofauti mayala kwanza waliosimamia hizi sheria kwa maana ya chenge na werema wanatofautiana
acheni majungu mambo ya msingi tunazidi kuyasahau comrade mkwepa Kodi,,salary slip,,nifah,,boban,,nyani ngabu u both guys nowadays look so dormant why?
Dangote ameshusha malori 600 kwa hesabu za haraka haraka dereva na utingo itakuwa ni ajira ya watu 1200 jadilini wanapatikanaje hao ndiyo hoja ya msingi hiyo
Narudia tena tuzungumze issues ambazo ni maslahi kwa taifa ili tuweze songa mbele na maisha yetu yawe na tija,, mpaka sasa hatujui tulipo,, tunahoji upotevu wa mtu mmoja!? Shame on u,, tutulize akili jamani oh oh tutaachwa huu muda siyo wa porojo za siasa jamani,,,
Hakuna mjadala kwenye hii hoja waliagizwa maafisa waandamizi wa Manispaa wanahousika na hayo masuala ya masoko wakarudisha taarifa kwa mkuu wao aliyewaagiza na kilichohamuliwa ndiyo haswa kilipaswa kufanyika
Narudia tena kuwaambia ndugu zangu tujikite kujadili hoja zenye tija na kutusaidia kutukwamua sisi watanzania wote tusipoteze muda wa kujadili mambo mepesi mepesi ya watu individual kama haya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.