Tetesi: Tanzania Daima Hali Siyo Shwari, Mhariri Mkuu, Ndugu Neville Meena Atimuliwa Kazi

TataMadiba

JF-Expert Member
Feb 7, 2014
9,866
5,742
tmp_25529-images-1965189324.jpeg


Kuna taarifa kuwa jana tarehe 04 Januari, 2017 Katika ofisi za gazeti la Tanzania Daima kulikuwa na patashika Nguo kuchanika.

Kwa mujibu wa mdakuzi wa taarifa hii, chanzo cha patashika hiyo ilitokana na UKATA unaoukabila uongozi wa gazeti hilo, hali iliyopelekea Watumishi kutolipwa mishahara yao yapata miezi MITANO sasa.

Habari zaidi zinasema mhariri Mkuu wa Tanzania Daima, Ndugu NEVILLE MEENA ametimuliwa kazi kwa kile kinachodaiwa kuwa ni kuingiza wafanyakazi wengi wasiyo kuwa na tija kwa gazeti huku wakilipwa mishahara mikubwa.

Wakati huo huo Mmiliki wa gazeti la Tanzania Daima ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni (KUB), FREEMAN AIKAELI MBOWE ametoa maagizo ya kuwatimua wafanyakazi wangine na kuwabakiza kumi na nne(14) tu.
 
View attachment 454642

Kuna taarifa kuwa jana tarehe 04 Januari, 2017 Katika ofisi za gazeti la Tanzania Daima kulikuwa na patashika Nguo kuchanika. Kwa mujibu wa mdakuzi wa taarifa hii, chanzo cha patashika hiyo ilitokana na UKATA unaoukabila uongozi wa gazeti hilo, hali iliyopelekea Watumishi kutolipwa mishahara yao yapata miezi MITANO sasa. Habari zaidi zinasema mhariri Mkuu wa Tanzania Daima, Ndugu NEVILLE MEENA ametimuliwa kazi kwa kile kinachodaiwa kuwa ni kuingiza wafanyakazi wengi wasiyo kuwa na tija kwa gazeti huku wakilipwa mishahara mikubwa.

Wakati huo huo Mmiliki wa gazeti la Tanzania Daima ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni (KUB), FREEMAN AIKAELI MBOWE ametoa maagizo ya kuwatimua wafanyakazi wangine na kuwabakiza kumi na nne(14) tu.
Hivi Uhuru walishalipwa mishahara yao......??? Just asking
 
Hata wewe utatimuliwa tu kwenye Buku 7 Group!

Magu anafuta kazi zote zisizokuwa za kikanuni kwa mujibu ya katiba ya chama!
 
pamoja na sababu zilizoainishwa kwenye mada hapo, zipo taarifa kuwa Bosi alitoa maelekezo ya gazeti hilo kutoandika chochote kuhusu kupotea kwa Ben Saanane, lakini mhariri Mkuu akakaidi baada ya wale vijana wa UTG wakiongozwa na Malisa GJ kulilaumu gazeti hilo kwa kitendo chake cha kulipa kisogo suala la kupotea kwa BEN.
Tusubiri mengj yanaweza kuibuliwa.
 
pamoja na sababu zilizoainishwa kwenye mada hapo, zipo taarifa kuwa Bosi alitoa maelekezo ya gazeti hilo kutoandika chochote kuhusu kupotea kwa Ben Saanane, lakini mhariri Mkuu akakaidi baada ya wale vijana wa UTG wakiongozwa na Malisa GJ kulilaumu gazeti hilo kwa kitendo chake cha kulipa kisogo suala la kupotea kwa BEN.
Tusubiri mengj yanaweza kuibuliwa.
aisee. Kazi kwelikweli
 
Back
Top Bottom